Mchunguzi Fukara
JF-Expert Member
- Dec 23, 2021
- 215
- 274
Leo nimewaletea picha na video ya tukio mojawapo lililoleta ukakasi/na kuwaumiza wamarekani weusi miaka nyuma NCHINI MAREKANI, George Stinney Jr black America alikuwa kijana mwenye umri mdogo zaidi kuuawa kikatili Marekani akiwa na umri wa miaka 14 alinyongwa June 16,1944 na alizaliwa October 21, 1929
Kabla ya kunyongwa dogo alikuwa anasisitiza kuwa hana hatia hahusika na mauaji ya mabinti wawili na pia dogo wakati wote wa majaribio alishikishwa Biblia mikononi mwake. Alishtakiwa kuwaua wasichana wawili wa kizungu, Betty 11, na Mary 7, ambao walikuwa wanaishi karibu na nyumbani kwa kina
George, Mahakama ya wazungu ilimtia hatiani baada ya kesi iliyounguruma ndani ya masaa mawili na mashauri ya dakika 10 ambayo wazazi wake hawakuweza kuhudhuria kesi hiyo, na ilibidi waondoke mjini baadaye.
George alifungwa gerezani kwa siku 81 kabla ya kunyongwa hakuweza kuonana na familia yake yaani wazazi wake.
Alinyongwa kwa kutumia kiti cha umeme bila ya wazazi wake kuwepo wala wakili wake, na alipewa voltage ya umeme ya hali ya juu sana. <<<Angalia video ya George akiwa ananyongwa kutumia umeme angalizo inatisha kidogo
View: https://youtu.be/THF1w5box7s?si=t4qAzN84MmoNqWoK
Miaka kadhaa baadaye jaji huko Southern Carolina alifuta jina.
Kiukweli silaha ya mauaji iliyotumika ilikuwa nzito sana ukilinganisha na umri wake. Tunamkumbuka George Stinney Jr na Tunatumaini amepumzika kwa amani peponi.
Kabla ya kunyongwa dogo alikuwa anasisitiza kuwa hana hatia hahusika na mauaji ya mabinti wawili na pia dogo wakati wote wa majaribio alishikishwa Biblia mikononi mwake. Alishtakiwa kuwaua wasichana wawili wa kizungu, Betty 11, na Mary 7, ambao walikuwa wanaishi karibu na nyumbani kwa kina
George, Mahakama ya wazungu ilimtia hatiani baada ya kesi iliyounguruma ndani ya masaa mawili na mashauri ya dakika 10 ambayo wazazi wake hawakuweza kuhudhuria kesi hiyo, na ilibidi waondoke mjini baadaye.
George alifungwa gerezani kwa siku 81 kabla ya kunyongwa hakuweza kuonana na familia yake yaani wazazi wake.
Alinyongwa kwa kutumia kiti cha umeme bila ya wazazi wake kuwepo wala wakili wake, na alipewa voltage ya umeme ya hali ya juu sana. <<<Angalia video ya George akiwa ananyongwa kutumia umeme angalizo inatisha kidogo
View: https://youtu.be/THF1w5box7s?si=t4qAzN84MmoNqWoK
Miaka kadhaa baadaye jaji huko Southern Carolina alifuta jina.
Kiukweli silaha ya mauaji iliyotumika ilikuwa nzito sana ukilinganisha na umri wake. Tunamkumbuka George Stinney Jr na Tunatumaini amepumzika kwa amani peponi.