Mfahamu Howard Stern: Mtangazaji Tajiri zaidi Duniani

@DeepPond ....Wee Mnyama sana kuhusu HABARI za Hanasa za KIMATAIFA sijawahi Kukupinga Mzee wangu...na vilee unajua kutiririka kwenye uandishiii hua nakuelew kwa Undani Mno....SAFIIIIIIIII....[emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji111][emoji111][emoji2935][emoji2935][emoji2935]
 
Sikuwahi kuhjua kama jamaa ana Mizigo mingi kiasi hiki....Waaoooh
 
Kuna picha nyng za ajabu sana zikiwekwa humu Hali ya hewa inachafuka mkuu[emoji4]
Huyu Howard stern myahudi nina mashaka nae[emoji2]

Mavazi yake ni kama jamaa wale wa bendera ya marangi rangi
 
Forbes wanamtambua Howard stern ndio tajiri zaidi Hadi kufikia mwaka 2022

Ebu lete ulikotoa huo utafiti wako mkuu,
Ili Tubishane kwa hoja[emoji4]View attachment 2184427View attachment 2184428
Deep pond habari yako mkuu,kutokana na ubusy nilishindwa kukuletea facts kusapoti comment yangu ya kuwa Oprah Winfrey ni mtangazaji tajiri kuliko Howard Sten...Kwa mujibu wa Forbers huo ndo utajiri wa oprah Winfrey na kwa faida yako sasa Oprah Winfrey ndiye Celeb mwenye mkwanja kuliko yeyote yule akifuatiwa na Kanyewest na Michael Jordan..Oprah ndiye celeb wa kwanza kuwa na utajiri wa Billion Dollars tangu dunia hii iumbwe yeye ndiye alikuwa namba moja kabla ya Michael Jordan na Jay Z kufikia stage hiyo hapo baadaye

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…