Mzee Wangu uyo kijana nadhani alileta ki-utani TU, usiichukulie too serious.Dira...
Nilidhani kuwa unataka tufanye mjadala wa kuheshimiana.
Mimi mjadala huu uliokujanao hapa wa kunikejeli huwa sijibu.
Hapa tulipofika panatosha.
Mzee wangu watu wanaku-missjudge mno humu sijui kwanini. Mimi si muislam lakini mpenzi sana wa historia (japo ni mwanasayansi) lakini napenda kujua ukweli kuhusu mambo mengimengi hata kama si ya kweli.Dira...
Nilidhani kuwa unataka tufanye mjadala wa kuheshimiana.
Mimi mjadala huu uliokujanao hapa wa kunikejeli huwa sijibu.
Hapa tulipofika panatosha.
Possibles,Mzee wangu watu wanaku-missjudge mno humu sijui kwanini. Mimi si muislam lakini mpenzi sana wa historia (japo ni mwanasayansi) lakini napenda kujua ukweli kuhusu mambo mengimengi hata kama si ya kweli.
Nimekufatilia sana ninapopata mida na nilifurahi kukusikia na kukuona kwenye kipindi cha Zumari cha UTV, nilifaidi sana.
Tafadhali usivunjike moyo.
Bado tupo tunaopenda kupata kujua mambo yalivyokuwa hapo zamani.
Deep...Mzee Wangu uyo kijana nadhani alileta ki-utani TU, usiichukulie too serious.
Maana comment yako khs Sykes na TANU imeanzisha mada ndani ya mada[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana mzee, kama kuna kitu cha kujivunia sisi vijana waleo ni wewe. Bahati mbaya nyakati tulizonazo leo hii sio rafiki kwa historia kwa sababu vijana wengi wako na mwelekeo wa maudhui mengine ya kiburudani zaidi haswa mada kama hizi tunamojadiliana sasa.Dira...
Nigependa kueleza kidogo kuhusu kuwa mimi nimespecialise chembelecho ''ishu'' ya familia ya Sykes na Uislam.
Tuanze na ukoo wa Sykes.
Waandishi wa historia ya Tanganyika walitishwa na vitu vitu viwili navyo ni Sykes kutawala harakati za Waafrika katika kupigania haki za Waafrika kuanzia mwaka wa 1929 hadi ulipopatikana uhuru 1961.
Mwaka wa 1929 historia hii inaanza na baba, Kleist Sykes hadi alipofariki 1949.
1950 hadi 1961 harakati hizi zinapokelewa na wanae Abdul, Ally na Abbas.
Ukoo huu ulikuwa na ushawishi mkubwa katika AA, TAA na TANU na pia katika Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika chama alichoanzisha baba yao 1933 pamoja na wenzake kama Ali Jumbe Kiro na Mzee bin Sudi kwa kuwataja wachache.
Hii Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika ilianzishwa na viongozi wale wale ambao walikuwa wanaongoza AA katika miaka hiyo.
Hii ndiyo sababu huwezi kuuondoa Uislam katika harakati za kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika.
Hiki ndicho chanzo cha tatizo linalotaabisha wengi wenu.
Mnataka kuifuta historia hii na mumpachike Julius Nyerere awe ndiye muasisi wa TANU na kuwa kapigania uhuru wa Tanganyika peke yake akiwa hana ofisi, hana watu wala hana fedha.
Kafika Dar es Salaam kafungua ofisi kajulikana na watu na wa watu wakamuunga mkono na akawa anajaza watu katika mikutano ya TANU Mnazi Mmoja bila ya msaada wa mtu yeyote.
Mimi nimesahihisha haya kwa kuzipitia Nyaraka za Sykes na nyaraka hizi zikanipa historia yote kama ilivyokuwa.
Ikiwa kuandika haya kwako ni ''specialisation'' ya Sykes ningependa kukukumbusha kuwa umesahau kuwaongeza wale ambao ''specialisation,'' yao ni Julius Nyerere peke yake.
Nakuomba uwaongeze hawa katika orodha yako kwani hawa wamebobea kwa miaka mingi katika kazi hii iliyowaondosha wazalendo wengi katika historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika wakabakia na Nyerere peke yake.
Hawa hawaruhusu mzalendo yeyote atajwe katika historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika.
Lakini mimi sikuspecialise kwa Sykes peke yake.
Nimewarejesha katika historia wazalendo wengi wakawa ''speciality'' zangu : Chief David Kidaha Makwaia, Dr. Vedasto Kyaruzi, Dr. Michael Lugazia, Dr. Luciano Tsere, Dr. Joseph Mutahangarwa, Dr. Wilbard Mwanjisi, Japhet Kirilo, Dome Okochi Budohi, Denis Phombeah, Zuberi Mtemvu, Mshume Kiyate, Joseph Kimalando, Sheikh Suleiman Takadir, Sheikh Mohamed Yusuf Badi, Sheikh Abdallah Rashid Sembe, Hamisi Kheri, Sheikh Said Chaurembo, Mshume Kiyate, Sheikh Mohamed Ramiyya, Iddi Faiz Mafungo, Iddi Tosiri, Amina Kinabo, Hawa bint Maftah, Nyange bint Chande, Mama Bint Mwalimu, Halima Selengia, Zarula bint Abdulrahman, Chiku bint Said Kisusa Abdulrahman wengi, wengi, wengi sana.
Wake kwa waume nimeandika historia zao katika kupigania uhuru wa Tanganyika.
Sikumwandika Abdulwahid Kleist Sykes peke yake.
Kitabu chake kipo sasa tunakwenda chapa ya tano na hapa JF tunakijadili kitabu sasa takriban miaka 10.
View attachment 2186656
View attachment 2186658
Mzee wangu hata mimi mwanzoni nilipenda sana threads zako ila nikaona umejaa sana udini na hao kina Sykes unawatumia tu kwenye agenda yako ya udini. Ila bado una nafasi ya kuandika thread zisizokuwa na udini.Possibles,
Mimi siwashangai na nawaelewa vyema kabisa.
Makala yangu ya kwanza ''In Praise of Ancestors,'' Africa Events (London) 1988 nilimtaja Abdul Sykes kama muasisi wa TANU na nikaitaja Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika.
Toleo zima lilikusanywa.
Leo hawa ndugu zangu akili zao zinakataa kuamini kuwa historia waliyosomesha kwa zaidi ya nusu karne haikuwa sawa.
Hawakuelezwa kuwa katika TANU kulikuwa na Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir na Sheikh Suleiman Takadir akiwa Mwenyekiti wa Baraza la TANU.
Akina Rugambwa walikuwapo lakini walijiweka mbali sana na harakati za kupigania uhuru wakati Sheikh Hassan anauza kadi za TANU misikitini.
Hawakuelezwa kuwa Ally Sykes alikuwa na kadi no. 2 na kadi no. 3 ni ya kaka yake Abdul Sykes.
Iweje iwe hivi?
Leo wanashangaa kwa nini kila nikiandika historia ya TANU Sykes hawakosi.
Wanadhani nawapenda tu.
Na kubwa linalowatesa ni kule kusoma majina ya Kiislam katika historia nzima ya kudai uhuru.
Lakini huu ndiyo ukweli wenyewe.
Mimi si mtu wa kuvunjika moyo toa hofu.
Dira...Mzee wangu hata mimi mwanzoni nilipenda sana threads zako ila nikaona umejaa sana udini na hao kina Sykes unawatumia tu kwenye agenda yako ya udini. Ila bado una nafasi ya kuandika thread zisizokuwa na udini.
Penda...Asante sana mzee, kama kuna kitu cha kujivunia sisi vijana waleo ni wewe. Bahati mbaya nyakati tulizonazo leo hii sio rafiki kwa historia kwa sababu vijana wengi wako na mwelekeo wa maudhui mengine ya kiburudani zaidi haswa mada kama hizi tunamojadiliana sasa.
Lau ingengekua ni mada nyingine ya kihistoria nikiri tu nisingejua haya ulio yawasilisha hapa.
Maadamu maandishi hayafutiki kwa wepesi mimi nakuombea heri mzee kwa majitoleo yako kutujulisha haswa historia ya nchi na taifa letu kinyume na tulivyo kua tume ambiwa.
Moise...Another day in Paradise!Wazungu wamejawa na vibweka sana.
Naam.Ni wimbo mzuri sana mkuu.Moise...
Phil Colllins, ''Another Day in Paradise.''
Umenikumbusha mwaka wa 1990 niko ndani ya Machava Stadium, Maputo.
Yvonne Chakachaka amekuja Maputo na bendi yake na anafanya show Machava Stadium.
Bahati nzuri kafikia hotel niliyokuwa nimepanga inaitwa, Cardoso.
Miaka ile hii ilikuwa hoteli ya pili kwa uzuri ya kwanza ni Polana.
Nimekwenda kutazama show yake.
Uwanja umefurika.
Kabla ya Yvonne Chakachaka kupanda kwenye stage walikuwa wanapiga nyimbo za Temptations na Phil Collins, ''Another Day in Paradise.''
Nina stori ndefu na Yvonne Chakachaka.
Ikapita miaka tukaja kuonana Arusha yeye akiwa Ambassador wa Roll Back Malaria.
Nikamkumbusha ile show yake ya Maputo.
Akaniuliza ulikuwako Machava Stadium siku ile?
Nikamjibu, ''Naam na tulipanga hoteli moja.''
Nikamuuliza, ''Haya imekuwaje mbona umekuwa mnene hivi?''y
Akacheka sana akaniambia, ''Nimeolewa na nina watoto.''
Mnisamehe ni nje ya maudhui iliyopo mezani lakini ''Another Day in Paradise,'' miaka 32 iliyopita nimekumbuka mbali sana.
View attachment 2191268
Yvonne Chakachaka Arusha 2008
Nimefatilia japo kwa kiasi kidogo historia ya nchi nyingine duniani hasa Ulaya. Hawaelezi jinsi walivyokuwa na mapigano ya ndani kwa ndani kwenye kujipatia uhuru na pengine kuangusha tawala mbalimbali.Possibles,
Mimi siwashangai na nawaelewa vyema kabisa.
Makala yangu ya kwanza ''In Praise of Ancestors,'' Africa Events (London) 1988 nilimtaja Abdul Sykes kama muasisi wa TANU na nikaitaja Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika.
Toleo zima lilikusanywa.
Leo hawa ndugu zangu akili zao zinakataa kuamini kuwa historia waliyosomesha kwa zaidi ya nusu karne haikuwa sawa.
Hawakuelezwa kuwa katika TANU kulikuwa na Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir na Sheikh Suleiman Takadir akiwa Mwenyekiti wa Baraza la TANU.
Akina Rugambwa walikuwapo lakini walijiweka mbali sana na harakati za kupigania uhuru wakati Sheikh Hassan anauza kadi za TANU misikitini.
Hawakuelezwa kuwa Ally Sykes alikuwa na kadi no. 2 na kadi no. 3 ni ya kaka yake Abdul Sykes.
Iweje iwe hivi?
Leo wanashangaa kwa nini kila nikiandika historia ya TANU Sykes hawakosi.
Wanadhani nawapenda tu.
Na kubwa linalowatesa ni kule kusoma majina ya Kiislam katika historia nzima ya kudai uhuru.
Lakini huu ndiyo ukweli wenyewe.
Mimi si mtu wa kuvunjika moyo toa hofu.
Possibles,Nimefatilia japo kwa kiasi kidogo historia ya nchi nyingine duniani hasa Ulaya. Hawaelezi jinsi walivyokuwa na mapigano ya ndani kwa ndani kwenye kujipatia uhuru na pengine kuangusha tawala mbalimbali.
Japo kwetu Africa napo wamejitahidi kuonyesha kuwa tumekuwa tukiuana mno kwa uchu wa utawala.
Hizo aya mbili hapo juu zinaonyesha kabisa wenzetu hawa wa Ulaya ni mabingwa wa kupindisha na hata kuchezea history ili iandikwe kwa namna wanayotaka wao.
Hakuna kosa kabisa historia yetu ikaandikwa bilevile ilivyotokea. Na namna pekee ni kwa kupata masimulizi ya waliokuwepo, vitabu, majarida na maandiko kutoka kwa walioshiriki na kushuhudia.
Inaniuma sana ninapoona mwafrika/mtanzania mwenzangu anapoogopa kuijua historia ya nchi bara/nchi yake kwa kuhofia majina flani au dini. Ni tabia mbaya kuuhofia ukweli.
Kwa mfano mpaka leo sijui Mzanzibari mzawa/halisi ni nani. Ni kabila gani? Muasisi wa taifa la Zanzibar Karume ni mzanzibari halisi?
Nilipata kuona picha za waziri mkuu wa kwanza wa Zanzibar akiwa UN. Hizi nchi mbili (Tanganyika na Zanzibar na hatimaye Tanzania) zina historia kubwa ambayo ikiwekwa vizuri ni faida sana kwa vizazi vyetu na vijavyo.
Hivi lakini hii taaluma yako kuna mtu unamrithisha? Una mpango wowote wa kuihifadhi electronically maana vizazi vijavyo sidhani kama vitatumia sana vitabu na shelves kupata taarifa za kale.
Hizo link tayari ni namna ya kupata urithi wa taarifa ulizonazo kwenye kumbukumbu zako.Possibles,
Hili la kurithisha sijaelewa narithisha kitu gani?
Kuhusu kuhifadhi historia hii ni kuwa vipo vitabu na paper nilizoandika katika mtandao halikadhalika kuna audio na video.
mohamedsaidsalum.blogspot.com
mohamedsaidsalum.com
Hicho kitabu "the life and times of A. Sykes " kinapatikanaje? Nimetafuta mtandaoni bila kufanikiwa.Dira...
Nigependa kueleza kidogo kuhusu kuwa mimi nimespecialise chembelecho ''ishu'' ya familia ya Sykes na Uislam.
Tuanze na ukoo wa Sykes.
Waandishi wa historia ya Tanganyika walitishwa na vitu vitu viwili navyo ni Sykes kutawala harakati za Waafrika katika kupigania haki za Waafrika kuanzia mwaka wa 1929 hadi ulipopatikana uhuru 1961.
Mwaka wa 1929 historia hii inaanza na baba, Kleist Sykes hadi alipofariki 1949.
1950 hadi 1961 harakati hizi zinapokelewa na wanae Abdul, Ally na Abbas.
Ukoo huu ulikuwa na ushawishi mkubwa katika AA, TAA na TANU na pia katika Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika chama alichoanzisha baba yao 1933 pamoja na wenzake kama Ali Jumbe Kiro na Mzee bin Sudi kwa kuwataja wachache.
Hii Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika ilianzishwa na viongozi wale wale ambao walikuwa wanaongoza AA katika miaka hiyo.
Hii ndiyo sababu huwezi kuuondoa Uislam katika harakati za kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika.
Hiki ndicho chanzo cha tatizo linalotaabisha wengi wenu.
Mnataka kuifuta historia hii na mumpachike Julius Nyerere awe ndiye muasisi wa TANU na kuwa kapigania uhuru wa Tanganyika peke yake akiwa hana ofisi, hana watu wala hana fedha.
Kafika Dar es Salaam kafungua ofisi kajulikana na watu na wa watu wakamuunga mkono na akawa anajaza watu katika mikutano ya TANU Mnazi Mmoja bila ya msaada wa mtu yeyote.
Mimi nimesahihisha haya kwa kuzipitia Nyaraka za Sykes na nyaraka hizi zikanipa historia yote kama ilivyokuwa.
Ikiwa kuandika haya kwako ni ''specialisation'' ya Sykes ningependa kukukumbusha kuwa umesahau kuwaongeza wale ambao ''specialisation,'' yao ni Julius Nyerere peke yake.
Nakuomba uwaongeze hawa katika orodha yako kwani hawa wamebobea kwa miaka mingi katika kazi hii iliyowaondosha wazalendo wengi katika historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika wakabakia na Nyerere peke yake.
Hawa hawaruhusu mzalendo yeyote atajwe katika historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika.
Lakini mimi sikuspecialise kwa Sykes peke yake.
Nimewarejesha katika historia wazalendo wengi wakawa ''speciality'' zangu : Chief David Kidaha Makwaia, Dr. Vedasto Kyaruzi, Dr. Michael Lugazia, Dr. Luciano Tsere, Dr. Joseph Mutahangarwa, Dr. Wilbard Mwanjisi, Japhet Kirilo, Dome Okochi Budohi, Denis Phombeah, Zuberi Mtemvu, Mshume Kiyate, Joseph Kimalando, Sheikh Suleiman Takadir, Sheikh Mohamed Yusuf Badi, Sheikh Abdallah Rashid Sembe, Hamisi Kheri, Sheikh Said Chaurembo, Mshume Kiyate, Sheikh Mohamed Ramiyya, Iddi Faiz Mafungo, Iddi Tosiri, Amina Kinabo, Hawa bint Maftah, Nyange bint Chande, Mama Bint Mwalimu, Halima Selengia, Zarula bint Abdulrahman, Chiku bint Said Kisusa Abdulrahman wengi, wengi, wengi sana.
Wake kwa waume nimeandika historia zao katika kupigania uhuru wa Tanganyika.
Sikumwandika Abdulwahid Kleist Sykes peke yake.
Kitabu chake kipo sasa tunakwenda chapa ya tano na hapa JF tunakijadili kitabu sasa takriban miaka 10.
View attachment 2186656
View attachment 2186658
Hapa ndo ninachowapendea watu wa mbele huko,kuzaa zaa hovyo kuna boa mno mwsho wa siku mnaanza kushitakianaHawakufanikiwa mkuu,
Hayakua mahusiano serious kivile,
Nnahisi walikua kwenye zone ya friends with benefits