Mfahamu Isaac Maliyamungu (The Killing Machine) aliyekuwa askari mtiifu wa Idi Amin Dada

Mfahamu Isaac Maliyamungu (The Killing Machine) aliyekuwa askari mtiifu wa Idi Amin Dada

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
Isaac Maliyamungu (The Killing Machine) alikuwa askari mtiifu wa Rais wa Uganda Idi Amin Dada, alipewa mamlaka ya kuua,kuteka,kutesa na kupoteza yeyote isipokuwa Amin na familia yake na alifanya hivo. Uzuri ni kwamba aliemlinda na yeye walikufa wote wakaiacha Uganda.

IMG_3862.jpeg
 
Back
Top Bottom