Ungejibu hoja zangu ndo ungekua na ujasiri wa kunambia nkae kimya nachokiona umefika ukomo wa ulichokalilishwa ss unarudia rudia tu maneno yakoWewe hii mada huiwezi ,tulia ufundishwe
YHWH IS GOOD
Hahahahaha unakataa hadi maelezo yakoWap nime generise luther alipinga ushetan wa roma karne ya 15?
Hivi kwann mnakurupuka hivo
Halafu unajifanya uliuliza swali
Mada na comments zangu nimeshajibu humu hadi HUKUMU YA KAHABA MKUU ROMA
YHWH IS GOOD
kwani huwa mnasema mnataka sadaka???...kusoma hatujui hata picha nayo hatuoni....easy sana bro baki na imani yako na uongelee imani yako na mimi nabaki na yangu zaidi zaidi niendelee kuikuza sio nianze kuongelea kuwa dini ya fulani ni bora kuliko na fulani..am a Catholic..I 'll remain in Catholic ...I 'll die a Catholic na mbingu nitaiona nikiwa CatholicKuna sehemu nimekuomba sadaka?
YHWH IS GOOD
Mbona huna hoja zozoteUngejibu hoja zangu ndo ungekua na ujasiri wa kunambia nkae kimya nachokiona umefika ukomo wa ulichokalilishwa ss unarudia rudia tu maneno yako
Leta porojo tu , hapa hamchomokiHahahahaha unakataa hadi maelezo yako
anayehidhinisha kitu chochote ni kiongozi wa kanisa katoric ambaye ni papa...sasa hiyo Malta sijakuelewa....yaani hamjawahi kunidanganya kwa maandiko walioandika wahariri ambao bado hata uelewa hawana hujanishawishi broo njoo kwa njia nyingine nasoma na kufuatilia sana kila kinachoendelea ...kawadanganye wasio soma ila kwa sisi wasomi uongezee utafiti
Mbna nlkuulza toka kwny hoja zako hukunijibu labda nkuulize tena hapa katika ufunuo 17 wanasema zle pembe kumi(wafalme kumi) kulokotokea pembe ndogo ambayo ww waita ndo papa inasema watafanya vita na mwanamke kahaba na kumuacha uchi na kumteketeza kabsa...nkauliza je n lini papa alimshambulia mwanamke kahaba(ambayw kwako n RC) na kumtokomeza? Na inasema hayo mataifa kumi yataungana na mnyama kufanya vita na mwanamke na mwanakondoo...waweza kutaja hayo mataifa kumi pamoja na huyo mnyama waloungana nae kumteketeza huyo mwamamke kahaba(rc kwa mujibu wako ambaye bado yupo pamoja na kuteketezwa)Mbona huna hoja zozote
Nimewapa mtihani mdogo
Niambieni KAHABA MKUU ni nani
Na mumuhusishe aya kwa aya ktk UFUNUO 17
Mnaleta lawama na propaganda
Umeona mimi nilivyomweleza KAHABA MKUU KUWA NI KANISA LA ROMA? aya kwa aya na historia inathibitisha hilo
KAWAULIZE HATA MAPADRI WANALIJUA HILO , ila hawawezi kuwaambieni , watakosa pa kula
Kanisa katoliki nchini Malta labariki Ushoga
YHWH IS GOOD
Leta tafsiri yako iliyosahihi kupinga hiyo yangu"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa,,
" Nitawaachieni msaidizi,,,"
Bwana mungu wa mbinguni atusaidie,,,,,,hatujui na hatutaki kujifunza kweli ya mungu mashudu ya kina G White yametufika kooni tunatapatapa na tafsiri zisizo na mashiko,,,,,kweli hatujampokea msaidizi kutusaidia kujua siri za mungu Leo hii tunajazana ujinga
"Tuamke tujifunze kweli ya mungu sawasawa na neno lake tusiangamie kwa upumbavu wetu,,"
"BWANA MUNGU WA MBINGUNI TUHURUMIE"
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Mbingu gani hiyo wanaenda waabudu sanamu?kwani huwa mnasema mnataka sadaka???...kusoma hatujui hata picha nayo hatuoni....easy sana bro baki na imani yako na uongelee imani yako na mimi nabaki na yangu zaidi zaidi niendelee kuikuza sio nianze kuongelea kuwa dini ya fulani ni bora kuliko na fulani..am a Catholic..I 'll remain in Catholic ...I 'll die a Catholic na mbingu nitaiona nikiwa Catholic
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Mimi nnao uwezo wa kukuelezea huyo mnyama vichwa vyake saba na pembe kumi na nkavitaja kila kichwa hadi huyo mnyama wa pili na kahaba tokea kwny biblia had historia...ukinijibu ntaendelea kukufunulia kimoja baada ya kingine...mm ntatumia maswali tokea kwmy hoja zako kma nlvoanza kukuulza hapo juu utakapojbu tutaendelea..ukikwepa ntakusibrMbna nlkuulza toka kwny hoja zako hukunijibu labda nkuulize tena hapa katika ufunuo 17 wanasema zle pembe kumi(wafalme kumi) kulokotokea pembe ndogo ambayo ww waita ndo papa inasema watafanya vita na mwanamke kahaba na kumuacha uchi na kumteketeza kabsa...nkauliza je n lini papa alimshambulia mwanamke kahaba(ambayw kwako n RC) na kumtokomeza? Na inasema hayo mataifa kumi yataungana na mnyama kufanya vita na mwanamke na mwanakondoo...waweza kutaja hayo mataifa kumi pamoja na huyo mnyama waloungana nae kumteketeza huyo mwamamke kahaba(rc kwa mujibu wako ambaye bado yupo pamoja na kuteketezwa)
Mbona haueleweki ?Mbna nlkuulza toka kwny hoja zako hukunijibu labda nkuulize tena hapa katika ufunuo 17 wanasema zle pembe kumi(wafalme kumi) kulokotokea pembe ndogo ambayo ww waita ndo papa inasema watafanya vita na mwanamke kahaba na kumuacha uchi na kumteketeza kabsa...nkauliza je n lini papa alimshambulia mwanamke kahaba(ambayw kwako n RC) na kumtokomeza? Na inasema hayo mataifa kumi yataungana na mnyama kufanya vita na mwanamke na mwanakondoo...waweza kutaja hayo mataifa kumi pamoja na huyo mnyama waloungana nae kumteketeza huyo mwamamke kahaba(rc kwa mujibu wako ambaye bado yupo pamoja na kuteketezwa)
Nukuu hizo aya kama zilivyoMbna nlkuulza toka kwny hoja zako hukunijibu labda nkuulize tena hapa katika ufunuo 17 wanasema zle pembe kumi(wafalme kumi) kulokotokea pembe ndogo ambayo ww waita ndo papa inasema watafanya vita na mwanamke kahaba na kumuacha uchi na kumteketeza kabsa...nkauliza je n lini papa alimshambulia mwanamke kahaba(ambayw kwako n RC) na kumtokomeza? Na inasema hayo mataifa kumi yataungana na mnyama kufanya vita na mwanamke na mwanakondoo...waweza kutaja hayo mataifa kumi pamoja na huyo mnyama waloungana nae kumteketeza huyo mwamamke kahaba(rc kwa mujibu wako ambaye bado yupo pamoja na kuteketezwa)
Labda kwa faida yako tu na wengne iko hvi kanisa katoliki lko centralized na lna vyombo maalum vya kutolea taarifa...siku utakapoona kanisa lmeruhusu ushoga au kuona lnafungsha ushoga tanzania ujue n worldwide namm ntakua wa kwanza kutoka tutapishana mlangonMbingu gani hiyo wanaenda waabudu sanamu?
Au ni mbingu ipi hiyo wanaenda mashoga?
Kanisa katoliki nchini Malta labariki Ushoga
HATA MARTIN LUTHER ALIKUWA MBISHI KAMA WEWE MPAKA PALE ALIPOGUNDUA UOZO 95 AKATOKA NA ALIKUWA PADRI SEMBUSE WEWE?
NA LEO KUNA MAOVU NA MADANGANYO MAELFU NDANI YA KAHABA MKUU (ROMANI CATHOLIC)
Ujumbe wa YULE MALAIKA WA TATU UNASEMA
tokeni kwake enyi watu wangu
TOKENI BABELI
YHWH IS GOOD
Mm nijichanganye tenaMbona haueleweki ?
Nukuu aya yote maana unajikanyaga tu
YHWH IS GOOD
Ambacho hujakielewa hapo ni kipi?Mm nijichanganye tena
Revelation 17:16
[16]And the ten horns which thou sawest upon the beast, these shall hate the whore, and shall make her desolate and naked, and shall eat her flesh, and burn her with fire.
Na zile pembe kumi ulizoziona, na huyo mnyama, hao watamchukia yule kahaba, nao watamfanya kuwa mkiwa na uchi, watamla nyama yake, watamteketeza kabisa kwa moto.
Haya hyo hapo na nyngne zaja tuanzie hapo
Haya ukimaliza hyo aya ya kuhusu kahaba uje kwny aya hizi unambie n lin hao wafalme kum walfanya vita na mwanakondoo na uwataje hao wafalme kumi wny shaur moja na huyo mnyama waliyeshirikiana nae....ukishindwa nitakusaidiaNukuu hizo aya kama zilivyo
Maana naona hapo haueleweki na una mix mambo ,
YHWH IS GOOD
Najua huwezi kusema lolote kuhusu hoja zangu hapo juu isipokuwa kutoa povu. Eti nawe ni mtakatifu wa sabato na unaamini kuwa utakwenda mbinguni kisa tu eti unasali Jumamosi. Labda mbingu ya ukoo wenu [emoji23][emoji23][emoji23]Acha uongo wewe,wewe utakuwa ni kibaka tu wa mitaani,unaongea utumbo mtupu,bila shaka hujawahi kanyaga kanisa lolote,kama ulikaa kwa wasabato kisha ukatoka basi wewe una mtindio wa ubongo,huelewi na huta elewa kamwe
Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
Jibu hoja mkuu mbna maswal ya ajabu...au huon hata maswal yangu tenaAmbacho hujakielewa hapo ni kipi?
YHWH IS GOOD