Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Kiongozi mkuu wa makundi ya waasi mashariki mwa Kongo Corneille Nangaa, Nangaa ni mfano wa viongozi wengi wa dunia ya tatu.
Nangaa sababu ya yeye kuingia kwenye uasi anasema ni kwamba alipokuwa mkuu wa tume ya Uchaguzi ya nchi hiyo maarufu kama CENI alishirikiana na mteule wake Rais Joseph Kabila kuchakakachua matokeo ili kumpatia ushindi Felix Tshisekedi lakini baada ya Tshisekedi kushinda alimgeuka waliyoahidiana, madai ambayo Tshisekedi ameyakana vikali
Kiufupi Nangaa ni mzee wa madili.
Dunia ya tatu bado maamuzi ya wananchi yanachezewa mno na magenge ya wahuni wachache wanaobatilisha maamuzi ya wananchi walio wengi na kuwapa ushindi watu wawatakao wao na sio waliochaguliwa na wananchi.
Ndio sababu ya viongozi wengi wasio na sifa kutangazwa washindi huku watu wengi wema kabisa wenye uwezo mkubwa wa kuwa viongozi waadilifu na wenye uwezo mkubwa wakiibiwa ushindi wao
Kwa mwenendo huo nchi nyingi za dunia ya tatu zinaendelea kuwa na utitiri wa viongozi bogus, viongozi mizigo, viongozi incompetent wasio na uwezo wala maarifa ya kusongesha mbele mataifa yao
Kiufupi kinachofanyika dunia ya tatu mara nyingi ni UCHAFUZI sio UCHAGUZI
Nangaa sababu ya yeye kuingia kwenye uasi anasema ni kwamba alipokuwa mkuu wa tume ya Uchaguzi ya nchi hiyo maarufu kama CENI alishirikiana na mteule wake Rais Joseph Kabila kuchakakachua matokeo ili kumpatia ushindi Felix Tshisekedi lakini baada ya Tshisekedi kushinda alimgeuka waliyoahidiana, madai ambayo Tshisekedi ameyakana vikali
Kiufupi Nangaa ni mzee wa madili.
Dunia ya tatu bado maamuzi ya wananchi yanachezewa mno na magenge ya wahuni wachache wanaobatilisha maamuzi ya wananchi walio wengi na kuwapa ushindi watu wawatakao wao na sio waliochaguliwa na wananchi.
Ndio sababu ya viongozi wengi wasio na sifa kutangazwa washindi huku watu wengi wema kabisa wenye uwezo mkubwa wa kuwa viongozi waadilifu na wenye uwezo mkubwa wakiibiwa ushindi wao
Kwa mwenendo huo nchi nyingi za dunia ya tatu zinaendelea kuwa na utitiri wa viongozi bogus, viongozi mizigo, viongozi incompetent wasio na uwezo wala maarifa ya kusongesha mbele mataifa yao
Kiufupi kinachofanyika dunia ya tatu mara nyingi ni UCHAFUZI sio UCHAGUZI