Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Bila picha 😳 khaaaaa pua pua puaMfahamu kwa picha Bi Roza Georgeyevna Shania Mdunguaji Bora Kabisa wa Jeshi la Urusi aliyeua watu 54
Hamjamboni wadau
Ni mdada mrembo kabisa kwa muonekano aliyehudumu
kwenye kikosi maalumu cha Wadunguaji (Snipers) wa Jeshi la Kisoviet mwaka 1943
Alikuwa ndiye mdunguaji bora kabisa (one of the best Soviet snipers) akiwa ameua (confirmed kills) watu 54
Wanawake wanaweza
Mnashadadia saanaa ma 'flat-screen'Mfahamu kwa picha Bi Roza Georgeyevna Shania Mdunguaji Bora Kabisa wa Jeshi la Urusi aliyeua watu 54
Hamjamboni wadau
Ni mdada mrembo kabisa kwa muonekano aliyehudumu
kwenye kikosi maalumu cha Wadunguaji (Snipers) wa Jeshi la Kisoviet mwaka 1943
Alikuwa ndiye mdunguaji bora kabisa (one of the best Soviet snipers) akiwa ameua (confirmed kills) watu 54
Wanawake wanaweza
View attachment 2163909
Hiki ndio kifaa sasa, sio yule zeruzeru
Sasa mbona bindo hujatuonyesha?
Umetuonyesha sura tabia kule nyuma hujatuonyesha
Yupo kazini anafyeka wavamizi mmoja baada ya mwingineYule sniper wa Canada yupo wapi?
Yupo mbinguni amelala yooo.Yule sniper wa Canada yupo wapi?
Kihelehele chakeYupo mbinguni amelala yooo.
Hiyo imebadilishwa na app za kisasa kutoka black and White ikaletwa humu Kama picha ya Jana kumbe ya kitambo1942 nilikuwa picha za rangi?
Umri wa miaka 20? Mbona anaonekana ni above 30?Mfahamu kwa picha Bi Roza Georgeyevna Shanina Mdunguaji Bora Kabisa wa Jeshi la Urusi aliyeua watu 54
Hamjamboni wadau
Ni mdada mrembo kabisa kwa muonekano aliyehudumu
kwenye kikosi maalumu cha Wadunguaji (Snipers) wa Jeshi la Kisoviet mwaka 1943
Alikuwa ndiye mdunguaji bora kabisa (one of the best Soviet snipers) akiwa ameua (confirmed kills) watu 54
Alizaliwa tarehe 3 April 1924 na kufariki akiwa na miaka 20 kwa kupigwa risasi vitani tarehe 28 Januari 1945
Alihudumu kwa muda wa miaka 4 kuanzia 1942 hadi 1945 akiwa na cheo Cha Senior Sergeant
Wanawake wanaweza
View attachment 2164240
View attachment 2164249
View attachment 2164256
View attachment 2164257
View attachment 2164258
View attachment 2164259
Kwa mujibu wa historia alifariki Katika umri huo Wa Miaka 20Umri wa miaka 20? Mbona anaonekana ni above 30?
Nyie mkiitwa nyani mnalalamika kubaguliwa! Pumbavu!H
Hiki ndio kifaa sasa, sio yule zeruzeru
aise ,kalala mavumbini mkuu ,siku ya pili tu akala bullets.Yule sniper wa Canada yupo wapi?
hata hivyo hakuwa sniper mzuri ,watu 54 ndo alioua kwa miaka 4 ,ni wachache Sana . halafu umri ulikuwa ni wa kuwa sniper mzuri zaidi !!!Kwa mujibu wa historia alifariki Katika umri huo Wa Miaka 20