Mfahamu Leonardo Da Vinci (1452 - 1519)

Godwin Tairo

New Member
Joined
Jul 14, 2021
Posts
3
Reaction score
8
Huyu ni mmoja kati ya watu wachache wenye uwezo mkubwa kuwahi kutokea duniani.

Kazaliwa 15April 1452 na kufariki 2May 1519. Huyu jamaa hakuwahi kanyaga shule ila alijaliwa kila aina ya kipaji

Music, Uchoraji, Fasihi, Uhandisi, Geology, Mathematics, Astronomy, Botany, History, Cartography. The list is going on......

Ndio mtu aliechora picha maarufu sana duniani ya MONALISA.

Na umaarufu wake ulizidi kua mkubwa ya kuibiwa mwaka 1911 ndie aliechora picha maarufu ya yesu Ile the last super lakini pia Davinci kagundua mambo mengi mno na mengine yanaendelea kuvumbuliwa kupitia maandishi yake japo kaishi mamia ya miaka iliopita lakini alikua anachora michoro ya vitu vilivyotengenezwa saivi.

Baadhi ya vitu alivyogundua na kazi yake ni Helicopter, Parachute, Mkasi, Vifaru na magari ya jeshi kaingiza mafumo wa bouble entry system kwenye bookkeeping. Kachora mfumo ya mishipa na mifupa. Geometry kafumbua optical instruments za barabarani Na mifumo ya mabomba ya maji.
 


He was a polymath.
 
Unaamini ni mtu mmoja au kazi za watu wengi ametunukiwa mtu mmoja
 


Humu jf yupo Da vinci, je ni reincarnation yake??🤣
 
Hujamtendea haki..umeandika shallow sana kama unakumbizwa.. Great Thinkers hawafanyi hivyo, mtu mwenye heshima kama huyo kumletea uzi mfupi hivyo
 
Kitu gani au vitu gani vimekujulisha kama mda alikuwa mtu wa historia ? Yaani kuna kazi zake zozote kuhusu hilo ?

Pili,nani aliwahi kumuona mtu huyu au habari yake ya kwanza kumuhusu yeye iliandikwa mwaka gani na iliandikwa na nani ?
 
Bro story ni fupi sana....kama beki wa timu fulani hapa nchini, kwann lakini????? kwa anayejua vizuri story ya huyu mwamba atusaidie please
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…