Mfahamu mtu aliyewahi kuvunja dirisha na kuingia mpaka chumbani kwa Queen Elizabeth

Mfahamu mtu aliyewahi kuvunja dirisha na kuingia mpaka chumbani kwa Queen Elizabeth

Kitombise

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
8,575
Reaction score
25,619
Mnamo mwaka 1982, mtu mmoja kwa jina la Michael Fagan, alifanikiwa kuingia kwenyekasri ya Malkia, Queen Elizabeth baada yakuvunja dirisha na kuingia chumbani humo.

1470655992880.jpg

Michael Fagan

Mtu huyo, aliingia ndani na kumpata Malkiahuyo amevalia nguo ya kulalia, akaketi kitandani kwa Malkia huyo na wakafanya maongezi kwa dakika kumi!

Baadaye malkia alifanikiwa kupiga king'ora namtu huyo kukamatwa. Siku ya Jumatano 18 May 2016 kisa kamahicho kilijirudia bada ya mtu mmoja mwenye umri wa miaka 41 kuvuka ua la kasri hilo na kuingia ndani ya makao ya kifalme.

Ripoti zinasema kuwa Malkia huyo, alikuwa ndani ya Kasri hilo. Hata hivyo, hakufanikiwa kuingia ndani yakasri hilo na aliweza kukamatwa dakika saba baada ya king'ora kulia.

Mshukiwa huyo, hakuwa na silaha yoyote na sasa yupo kizuizini kwa kosa la kuingia eneo linalolindwa.
 
Labla alikua anahitaji kuongea na malkia kutokana na chance kutopatikana kiurahisi akaona bora atumie njia mbadala
 
kumbe hata madirisha ya malikia yanakuwa hafifu kiasi cha mtu kuvunja na kuingia hadi room!
 
Nafikiri hawa walikuwa wanataka kuvunja tu record zisizo na msingi
au walikuwa wanataka walete changamoto kwa walinzi na kuwaonyesha udhaifu wao...
 
Nahisi malkia alipandishwa kilele cha mlima kilimanjaro alipofika salama akaona sasa apige king'ora waje wamchukue jamaa
 
Inasemekana jamaa alijipigia mzigo, sasa katika zile purukushani za kubinuana ndio wakagusa alarm kwa bahat mbaya[emoji16][emoji16][emoji3][emoji23]
 
Inasemekana jamaa alijipigia mzigo, sasa katika zile purukushani za kubinuana ndio wakagusa alarm kwa bahat mbaya[emoji16][emoji16][emoji3][emoji23]
Kama nawaona wakibinuana,na kugusa alarm hatari sana hii.
 
Back
Top Bottom