Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mexico naye si mwanamke kashindaMAMA ABDULI naye afurushwe ili Tanganyika irudishe hadhi yake.
Tunaaibika sana.
Huyu wa kwetu alirithi hakushindaMexico naye si mwanamke kashinda
Tulio somea Cuba tumekuelewa mazee...😜Joyce Hilda Banda, alizaliwa 1950. Huyu alikua Rais wa Malawi (April 2012-May 2014) msomi haswa alifurushwa kupitia sanduku la kura za Wananchi.
Bas we ni mkuu wa mkoa kilaza kama hata hujui kuandika Abduli unaandika Abduri
Sio ABDULI ni ABDURI.Bas we ni mkuu wa mkoa kilaza kama hata hujui kuandika Abduli unaandika Abduri
Huyu wa kwetu anapewa na NEC na TISS.Marekani mwakani Raisi mwanamke anapewa nchi na wapiga kura,mama mitano tena.
Hata wa sisi mwa mwembe chai primary tumeelewa.Tulio somea Cuba tumekuelewa mazee...😜
Joyce Hilda Banda, alizaliwa 1950. Huyu alikua Rais wa Malawi (April 2012-May 2014) msomi haswa alifurushwa kupitia sanduku la kura za Wananchi.
Asikupangie kabisa.Sio ABDULI ni ABDURI.
Usinipangie.
Kilichomponza ni kinyume chake! Kilichomponza ilikuwa kutaka kukubali kuwa Ziwa Nyasa mpaka uwe katikati kama Tanzania ilivyotaka wakamwona kama anataka kuuza ziwa kwa Watanganyika ndipo walipomfurusha!Alianzisha kiroja cha kusema Eti ziwa Nyasa lote ni sehemu ya nchi yao?
angefanikiwa sasa hivi ndugu zetu Wangoni, wanyasa, wamatengo n.k wangekuwa sio waTZ bali wamalawi 🤣🤣🤣
Hahahaha how come anabwata!Asikupangie kabisa.