Huyu dada anafanya poa sana na single yake mpya ya "Na yule ". Ni mmoja kati ya zao kutoka nyumba ya vipaji, Tanzania house of Talent, huu wimbo wake mpya ni shidaa . Ana sauti nzuri, pia mashairi yake yamekamilika, single yake ni moja kati ya nyimbo za mapenzi zinazosumbua kwa sasa kila kona ya redio, another threat kwa wakongwe, big up Ruby. Salute pia kwa barnaba kwa kuandika kazi nzuri.
"Aa Aaah kuna muda namuomba Mungu angekuleta mapema a Aaaaaah. Ila bado sio mbaya, wewe ndo unayejua maumivu yangu".
Kwa kweli her voice is captivating. Kuna siku walikuwa wanafanya promo ya show ya Christian Bella clouds fm, basi wakawa wanatupa vionjo na Bella mmmmh, anajua in short. Kila la kheri kwake
Kweli bint yuko vizuri sana.Ila mimi namkubali zaidi yule mwezie Hadija aliyeimba "maumivu niacheee".
Sasa ana huo wimbo wake mwingine anasema...
"Si ulisema mwenyewe nisipige simu wala kutuma message,
Tena ukasema hutaki kuniona unaweza toa machozi,
Tukigombana tunaelewana na mwishowe tunapuuzia..
Hili limekaa halifaiii kunyamaziwa!"
Eeh bwana naupenda huu wimbo hadi basi.Kama Hadija unapita hapa kaa ukijua nifah anakupenda sana.
Sorry warumi cjui ni mm ndo namchanganya rubby?????? Kuna wakati kuna shindano liliendeshwa na kina dj fety la kusaka vipaj cjui lilikuwa linaitwa divas"ki2 ka hcho, bas mi mpk leo najua rubby ndo katokea hko km mshindi!!!
Kweli bint yuko vizuri sana.Ila mimi namkubali zaidi yule mwezie Hadija aliyeimba "maumivu niacheee".
Sasa ana huo wimbo wake mwingine anasema...
"Si ulisema mwenyewe nisipige simu wala kutuma message,
Tena ukasema hutaki kuniona unaweza toa machozi,
Tukigombana tunaelewana na mwishowe tunapuuzia..
Hili limekaa halifaiii kunyamaziwa!"
Eeh bwana naupenda huu wimbo hadi basi.Kama Hadija unapita hapa kaa ukijua nifah anakupenda sana.
Ahahah, naipata hyo, ina maneno ya ajabu, pia ana sauti ya kudeka basi anavyoimba kwa kulalamika mhh!! Mahaba haya raha kweli kuyasikia kwenye nyimbo ila kiuhalisia ni shdiaaa
Halafu naona clouds fm tu ndio wanapiga wimbo wake, vituo vingine sijasikia yani mara chache sana kusikia radio nyingine wakiupiga wimbo wa ruby, au ndo wana mabeef hadi na wasanii wa clouds
Binamu mimi sitaki kukudanganya sio msikilizaji mzuri wa redio kabisa.Naonaga taabu sana labda itokee tena mara chache sana hasa usiku wakati nataka kulala.
Sorry warumi cjui ni mm ndo namchanganya rubby?????? Kuna wakati kuna shindano liliendeshwa na kina dj fety la kusaka vipaj cjui lilikuwa linaitwa divas"ki2 ka hcho, bas mi mpk leo najua rubby ndo katokea hko km mshindi!!!
Ahahahh ahahh acha tu akina rubby watufariji na danganya toto yao, haha
Ruby ni msanii safi kabisa kuwepo hapa TZ sauti yake inaelekea kwa kina Beyonce ...ila nina wasiwasi na alipotokea coz Ruge uwapandisha then wakihitilafiana huwashusha achilia mbali kuwa do( mana hufanyika sirini).. mi ni shabiki wake sana namwombea afike mbali