Mfahamu Sadhu Amar Bharati,mtu alienyoosha mkono wake juu bila ya kuushusha kwa miaka 47

Mfahamu Sadhu Amar Bharati,mtu alienyoosha mkono wake juu bila ya kuushusha kwa miaka 47

hypothalamus

Senior Member
Joined
Feb 19, 2018
Posts
126
Reaction score
153
Sadhu Amar Bharati wa India amenyoosha mkono wake wa kulia juu kwa miaka 47 bila ya kuushusha chini kama alama ya Utukufu wa Mungu wa kihindu ‘Shiva’

Mwaka 1973 aliamua kunyoosha mkono wake wa kulia kwa nyuzi 90 hewani,kufikia 2020 vidole vyake vimejishikiza kwenye kiganja cha mkono,kucha zake ni ndefu sana na zimejikunja kunja mithili ya nyuzi zilizo chunwa chunwa kutoka kwenye mti. Mkono huo unaonekana kama kipande cha mbao na hauwezi kutumika tena hata akitaka kuutumia

Mwaka 1970 aliacha kazi,mke wake na watoto watatu ili kujisalimisha kwa Mungu ‘Shiva. Miaka mitatu baadae aliona bado hajajisalimisha vya kutosha na bado hajajitenganisha na maisha ya anasa ya kidunia hivyo akaamua kuinua mkono wake wa kulia ili kujitenga na maisha yote ya anasa’ yanayoletwa na maisha ya kawaida ya dunia.

main-qimg-15af393a05eaa01d16948d76cc78eccf.jpg
main-qimg-5bfbf752b9382a88874e166927e8bb8f.jpg
 
Sadhu Amar Bharati wa India amenyoosha mkono wake wa kulia juu kwa miaka 47 bila ya kuushusha chini kama alama ya Utukufu wa Mungu wa kihindu ‘Shiva’

Mwaka 1973 aliamua kunyoosha mkono wake wa kulia kwa nyuzi 90 hewani,kufikia 2020 vidole vyake vimejishikiza kwenye kiganja cha mkono,kucha zake ni ndefu sana na zimejikunja kunja mithili ya nyuzi zilizo chunwa chunwa kutoka kwenye mti. Mkono huo unaonekana kama kipande cha mbao na hauwezi kutumika tena hata akitaka kuutumia

Mwaka 1970 aliacha kazi,mke wake na watoto watatu ili kujisalimisha kwa Mungu ‘Shiva. Miaka mitatu baadae aliona bado hajajisalimisha vya kutosha na bado hajajitenganisha na maisha ya anasa ya kidunia hivyo akaamua kuinua mkono wake wa kulia ili kujitenga na maisha yote ya anasa’ yanayoletwa na maisha ya kawaida ya dunia.

View attachment 1658182View attachment 1658183
Nafikiri huyu alishaona mbali kuwa kutakuja kuwepo na maandamano ya 'Black Lives Matter,' huo mwaka 1973 alikuwa anatengeneza jina tu. Sasa nembo yake inatumika kwenye EPL kabla ya kuanza mechi za soka na maandamano kote duniani. Kumbe bangi nazo kiboko, ngoja nikavute niachane na mirungi.
 
Sadhu Amar Bharati wa India amenyoosha mkono wake wa kulia juu kwa miaka 47 bila ya kuushusha chini kama alama ya Utukufu wa Mungu wa kihindu ‘Shiva’

Mwaka 1973 aliamua kunyoosha mkono wake wa kulia kwa nyuzi 90 hewani,kufikia 2020 vidole vyake vimejishikiza kwenye kiganja cha mkono,kucha zake ni ndefu sana na zimejikunja kunja mithili ya nyuzi zilizo chunwa chunwa kutoka kwenye mti. Mkono huo unaonekana kama kipande cha mbao na hauwezi kutumika tena hata akitaka kuutumia

Mwaka 1970 aliacha kazi,mke wake na watoto watatu ili kujisalimisha kwa Mungu ‘Shiva. Miaka mitatu baadae aliona bado hajajisalimisha vya kutosha na bado hajajitenganisha na maisha ya anasa ya kidunia hivyo akaamua kuinua mkono wake wa kulia ili kujitenga na maisha yote ya anasa’ yanayoletwa na maisha ya kawaida ya dunia.

View attachment 1658182View attachment 1658183
Na akienda msalani kujisaidiai inakuwaje, huwa anajishaje.
 
Mbona kama haina ukweli?? Mambo mengine alikuwa anafanya bila kushusha mkono??
 
Back
Top Bottom