Mfahamu Salum Shamte (1951 - 2020)

Sijui mzee wangu atasemaje kuhusu ilo. Tuwemakin nahawa tunaowatetea

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakubeti,
Nimeandika taazia ya Slim Shamte kama taazia ziandikwavyo.

Kisha nimeweka CV yake siku ya pili.

Hili unaloeleza wewe hapa linaangukia kwenye taazia.

Ustaarabu mtu hatii maneno yasiyopendeza kwenye taazia.

La una lako dhidi ya marehemu fungua uzi mpya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
apa tatizo si kubinafsisha tatizo ni kwamba wakulima wa mkonge walikuwa hawalipwi pesa zao kwa wakati..istoshe bei ya mkonge ilipanda sana na wakulima hawakulijua hilo wakawa wanalipwa bei ya zamani..kwa sasa katani L.T.D inadaiwa zaidi ya bil 27 za kuwalipa wakulima wa mkonge tangu bei ipande nandomana waliifungia karibia miezi miwili, waulize wakulima wa mkonge kwa sasa pesa wanayopokea na awali utaona utofauti mkubwa sana, awali mtu kupata mill 2 kwa wakati ni jambo tata sana ,ila kwa sasa yule alokuwa anapokea mill 2 anawez pokea mpaka mill 10, huoni kuna gape kubwa sana hapo?.na kwa sasa katani L.T.D hakuna ktu tna mana wanadaiwa maden mengi mno.shamba atakabidhiwa NSSF kwakuwa alkuwa anamiliki share 46 huku katani L.T.D akiwa na 54.katani hana pesa ya kulipa wakulima kwa sasa mana ana madeni ni mengi sana.All in all tutamkumbuka mzee wetu shamte mana tunaweza kusema bila yeye kusingalikuwa na wakulima wadogo, kachangia sana kiendeleza mkonge Tanga. samahani kwa ambao ntakuwa nimewakwaza lkn hii ndo hali halisi, wakulima walkuwa wakilipwa tofauti na bei ya soko.nandomana akawekwa ndani.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
RIP Mzee Salum Shamte, kwa hii obituary yake Salum Shamte RIP, sina budi kumshukuru mzee Mohamed Said umeifanyia haki Jamii ya wanaJamiiForums kuona kazi iliyotukuka na weledi wa mwendazake Mzee Salum Shamte.
 
RIP Mzee Salum Shamte, kwa hii obituary yake Salum Shamte RIP, sina budi kumshukuru mzee Mohamed Said umeifanyia haki Jamii ya wanaJamiiForums kuona kazi iliyotukuka na weledi wa mwendazake Mzee Salum Shamte.
Bagamoyo,
Ahsante sana.
 
Inna lillah wa Inna illah rajuun = Hakika sisi wote ni wa Mwenyezi Mungu na Kwake Yeye tutarejea.

Kisha Naye (Mola) atatueleza yote. Na tulokuwa tukitofautiana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
RIP Mzee Salum Shamte, kwa hii obituary yake Salum Shamte RIP, sina budi kumshukuru mzee Mohamed Said umeifanyia haki Jamii ya wanaJamiiForums kuona kazi iliyotukuka na weledi wa mwendazake Mzee Salum Shamte.
Apumzike kwa amani
 
Huenda akikusoma taratibu atakuelewa vyema. Sitashangaa kama bado hatakuelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…