Mfahamu T.O Kihombo 2006 aliyepata Degree yake ya Kwanza baada ya Miaka 11

Jamaa chenga sana wewe' wanafunzi bora kitaifa wanatangazwa tangu kitambo sana
 
Akili kubwa bila ya uvumbuzi ni ufala, ila hapa duniani wenye kupita madarasani sana huwa sio wavumbuzi. Wale vilaza wasiotaka kupita darasani ndio hutuletea mambo mapya
 
Jamaa chenga sana wewe' wanafunzi bora kitaifa wanatangazwa tangu kitambo sana
Wekeni hizo orodha hapa! Hata PDF hamna? Mimi nataka niwaoneshe kitu fulani ambacho ni tofauti na matokeo ya wanafunzi husika.

Kwa mfano, aliyeongoza kidato cha nne mwaka 2008 kwenye cheti chake ameandikiwa amepata division one ya point 13 lakini kwenye orodha ya wanafunzi waliofanya vizuri kitaifa yumo na anaonekana ameongoza na alipata division one ya point 7.

Vile vile aliyeongoza kidato cha nne mwaka 2007 kwenye cheti chake ameandikiwa amepata division one ya point 17 lakini kwenye orodha ya waliofanya vizuri kitaifa yumo na anaonekana ameongoza na alipata division one ya point 7.

Tena, aliyeongoza kidato cha nne mwaka 2006 kwenye cheti chake ameandikiwa amepata division one ya point 11 lakini kwenye orodha ya waliofanya vizuri kitaifa yumo na anaonekana ameongoza na alipata division one ya point 7.

Tena na tena, aliyeongoza kidato cha sita mwaka 2010 kwenye cheti chake ameandikiwa amepata division one ya point 6 lakini kwenye orodha ya waliofanya vizuri kitaifa yumo na anaonekana ameongoza na alipata division one ya point 3.

Sasa tatizo linakuja wapi? Matokeo ya kwenye cheti yakiwa tofauti na yale matokeo yanayosoma kwenye fomu ya maendeleo ya mwanafunzi [ TSM9 ], hupati kazi popote pale duniani au kwa lugha nyingine wanasema "vetting disclosure" yaani vetting imegoma.

Ikitokea umepata bahati utaishia kuajiriwa kupitia halmashauri au kupitia wizara kwa wale wa sekta ya afya na kilimo. Na ukiwa na bahati zaidi utaishia kuajiriwa kupitia serikali kuu.

Lakini sahau kuajiriwa nje ya nchi au kwenye taasisi za kimataifa kwa sababu ya "vetting disclosure" na hii ndio sababu inayopelekea watanzania wengi kutokuwepo kwenye soko la ajira la kimataifa.

Hii fomu ya [ TSM9 ] ndio inayoeleza taarifa za mwanafunzi husika tangu chekechea mpaka chuo kikuu. Yaani ni kivuli cha mwanafunzi husika, popote pale utakapoenda hili faili litakufuata mpaka sehemu yako ya ajira.

Sasa hakuna wa kukuajiri kama hii fomu ya [ TSM9 ] ni tofauti na matokeo yaliyopo kwenye vyeti.

Ndio maana ninasema hizo orodha tunaomba zitangazwe ili wale wanafunzi waliongoza wajitambue na wapewe vyeti vyao kulingana na ufaulu wao ili kuondoa hii tofauti.
 
Mkuu una undugu na Deo Kisandu?
 
Kuna miamba wabishi asee hio 2016 wakongwe tushaacha kujua kabisa habari za sekondari ila yeye anadai ndio orodha ya ma TO imeanza kutolewa mwaka huo maana yake maisha yetu yote tulioisha kabla ya 2016 ni illusion #bomboclooot
 

Ahsante
Na mimi nitahitimu tu japo nimedisco kwa figisu za madam 1
MUST
 
Kakosea sana kaka.
No
 
Nasema hivyo nikiwa na maana ya kuwa kupata division one ya point III siyo kigezo cha kuwa mwanafunzi bora kitaifa. Kama hiyo orodha ipo, naomba utuoneshe.
sifa zinazomiminika kwa huyu kiumbe wengine zinawauma wanatamani wangekua wanasifiwa wao, tuache roho za chuki zisizo na msingi hasa kwa watu tusiowajua, ukisoma hii thread kuanzia mwanzo lazima ukubali uwezo wa huyu mtu na ukiendelea kubisha basi ni roho mbaya na chuki ya asili tu itakua inakusumbua na utakua unahitaji Tiba ya kiroho.
 
Mbona Engineer Manyanya anauza mbaazi
Kuna Civil Engineer kutoka chuo kikuu cha Dar Es Salaam [UDSM] anachonga madirisha.

Na ukiangalia vyeti vyake ana matokeo mazuri tu ya kidato cha nne na kidato cha sita.

Matokeo ya kidato cha nne ana division one ya point 7 [2008] na matokeo ya kidato cha sita ana division one ya point 7 [2011].

Lakini TSM9 inagoma! Hii fomu ndio inayotoa taarifa sahihi za mwanafunzi husika.

TSM9 inasoma kidato cha nne alipata division one ya point 11 na kidato cha sita alipata division three ya point 13.

Kwahiyo inaonekana kuna udanganyifu ulifanyika katika kuwasilisha matokeo ya huyu mwanafunzi kwenye nakala za matokeo, yaani vyeti.

Hapa inaonekana ilitumika rushwa! Kama tunavyofahamu shule binafsi zinavyofanya ili kuvutia wateja.

Na matatizo kama haya ndio atapata muhitimu pale atakapohitimu masomo yake na kuanza kutafuta ajira.
 
Hmm! Mimi binafsi namfahamu kwa sababu alinifundisha masomo ya dhiada [ tuition ] ya Physics na Mathematics mwaka 2009.

Kusema ukweli, Elias Kihombo yuko vizuri kwenye kufundisha masomo ya Physics na Mathematics.

Lakini hii isiwe sababu ya yeye kujitangaza kuwa aliongoza kidato cha sita mwaka 2006 na kupata wastani wa 98!

Hivi kwani siku hizi baraza la mitihani [ NECTA ] wanatoa hadi wastani? Jibu ni hakuna!

Sasa kama hiyo orodha ipo ya yeye kuongoza kidato cha sita tunaomba tuione! Jibu ni haipo!
 
huu uT.O ni upuuzi mtupu tu
kwenye nchi zinajozielewa ni marufuku kisheria kupanga eti fulani ni TOP,
utaandwa na maswali mpaka ya kijamii je unajiweza kujichanganya na kadamnasi
Kwahiyo huwezi kuitwa wewe ni TOP
sababu kiulewo kuna ma hao ma TO mnavyoita wana kuwa ni "autistic genius"
Kwenye shughuli za kujichangaya wao hawataki kadamnasi ya watu kabisa lakini wanakubalika kwenye ugenius(kipaji)
 
We fala hujui hafu unakera hfu mbishi kama shipa
List ya ma-TO
2020 mwka huu sijui

2019 mwaka huu sijui

2018 mwaka huu sijui

2017 dogo mmoj kutoka mazinde juu PCB

2016 dogo mmoja hv kutoka tabor boys PCM

2015 dogo PCM kutoka Fez boys PCB

2014 dogo kutoka st joseph ya posta PCM huyu alikuwa na 4 phys alipata B huyu alipata A ya computer optinal huu mwaka TO alikuwa na points 4

2013 dogo mmoja w iliboru huu mwaka TO alikuwa na one ya tano mwaka huo physcs ilianzia C wadau kibao walidondoka muhas na two za PCD na D za kutosh tu

2012 TO alikuwa demu kutoka marian

2011 huku ndo jamaa wa kuitwa muhagachi from kibaha PCM

2007 Jamaa wetu w Pugu now ni PHd holder EGM

Hii list hapo sijaingia google ni kumbukumbu za kichwani tu

Acha ubishi wa kiseng.e we jamaa hizi list unfikiri tumezitunga mkwun.du ww!....unakera.
 
We fala tu mmoja eti umekuwa wa kwnza 2007 labda umewaongoza CCM.


Hafu ulivyokuwa boya unatuambia umeambiwa utoe TSM9 na mwajili wako hahahahahahaha kawadangnye kwenu huko kiazi ww wakati hzo mambo ziko drasa la saba we jamaa unatounaje humu ndani aisee nimekuweka ignore list chapu maana ni bonge la mpumbavu!
 
And let's put this clear! TANZANIA is now globally well known for repression and falsification of pupils and students academic results. That's why, we don't have many TANZANIANS on global market.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…