Victor hafai- kabisa,Kwa wasiomjua- huyu jamaa ameanza- hizi vurugu- kitambo.
Ameshawatapeli kina Ay birmigham Ay alienda clouds akachafua ila nadhani watu wakawa hawajajua kiundani ni nani mwaribifu,Tena akarudia akamfanyia tena Mr blue,tena Ali kiba ndo husiseme huyu huwa halipwi kabisa na uambulia mademu na kukaa kwa victor.
Matonya na Nonini nao,Chege na Temba pia sanaa kibao.Victor yeye huwa anaharibu halafu anakimbia na kutupia lawama watu wasio husika. Kwamfano latest tweet yake ya insta inasema "tatizo sio promota au Diamond bali ni club licence"Huu ni wizi mtupu,huyu jamaa analeta urafiki na wasanii na kusahau hii ni biashara.
Huyu mtu anatakiwa kufunguliwa mashtaka kwasababu hii sio mara ya kwaza wala ya nne na hatua zisipochuliwa huyu mtu ataendelea.bila kumsahau TID,last shown TId aliongea kwenye page yake victor kamtapeli,naona watu walidhani ni bangi za Tid ila sio mara ya kwanza kwa Tid kuzinguana na victor
Ameshawatapeli kina Ay birmigham Ay alienda clouds akachafua ila nadhani watu wakawa hawajajua kiundani ni nani mwaribifu,Tena akarudia akamfanyia tena Mr blue,tena Ali kiba ndo husiseme huyu huwa halipwi kabisa na uambulia mademu na kukaa kwa victor.
Matonya na Nonini nao,Chege na Temba pia sanaa kibao.Victor yeye huwa anaharibu halafu anakimbia na kutupia lawama watu wasio husika. Kwamfano latest tweet yake ya insta inasema "tatizo sio promota au Diamond bali ni club licence"Huu ni wizi mtupu,huyu jamaa analeta urafiki na wasanii na kusahau hii ni biashara.
Huyu mtu anatakiwa kufunguliwa mashtaka kwasababu hii sio mara ya kwaza wala ya nne na hatua zisipochuliwa huyu mtu ataendelea.bila kumsahau TID,last shown TId aliongea kwenye page yake victor kamtapeli,naona watu walidhani ni bangi za Tid ila sio mara ya kwanza kwa Tid kuzinguana na victor