Mfalme Henry VIII alitumia £ 13.5 M kwa kusheherekea Christmas mwaka 1509

Mfalme Henry VIII alitumia £ 13.5 M kwa kusheherekea Christmas mwaka 1509

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1619727427342.jpeg

Alifanya sherehe, aligharamia chakula na kununua zawadi. Wajakazi wake wote walipata zawadi. Mama aliyeleta mpira wenye marashi alipewa £488 na aliyeimba shairi alipewa £2,400.

Pesa aliyotumia kwa Christmas ya mwaka huo ilikua sawa na makusanyo ya kodi ya mwaka mzima.

Huwezi kuwalaumu wananchi kudai utawala wa ki demokrasia na Mfalme kupunguziwa madaraka.
 
... pia huyu ndiye mwanzilishi wa Kanisa Anglikana (Church of England) baada ya ombi lake la kuongeza mke kukataliwa na Vatican. Alikuwa ni mfuja mali sio mchezo (extravagant) akawa tipwatipwa haswa kiuno inchi 54; akiupata ufalme bado kinda (18). Alioa hadi wake 6.
 
View attachment 1768225
Alifanya sherehe, aligharamia chakula na kununua zawadi. Wajakazi wake wote walipata zawadi. Mama aliyeleta mpira wenye marashi alipewa £488 na aliyeimba shairi alipewa £2,400.

Pesa aliyotumia kwa Christmas ya mwaka huo ilikua sawa na makusanyo ya kodi ya mwaka mzima.

Huwezi kuwalaumu wananchi kudai utawala wa ki demokrasia na Mfalme kupunguziwa madaraka.
Huyu jamaa was an idiot
 
... pia huyu ndiye mwanzilishi wa Kanisa Anglikana (Church of England) baada ya ombi lake la kuongeza mke kukataliwa na Vatican. Alikuwa ni mfuja mali sio mchezo (extravagant) akawa tipwatipwa haswa kiuno inchi 54; akiupata ufalme bado kinda (18). Alioa hadi wake 6.
Huyu ndiye name sake wa Harry. Alikufa mapema kwasababu ya unene. Baada ya kifo chake ikawa ni wajibu wa wana familia ya kifalme kufanya mazoezi na kula balanced diet.
 
View attachment 1768225
Alifanya sherehe, aligharamia chakula na kununua zawadi. Wajakazi wake wote walipata zawadi. Mama aliyeleta mpira wenye marashi alipewa £488 na aliyeimba shairi alipewa £2,400.

Pesa aliyotumia kwa Christmas ya mwaka huo ilikua sawa na makusanyo ya kodi ya mwaka mzima.

Huwezi kuwalaumu wananchi kudai utawala wa ki demokrasia na Mfalme kupunguziwa madaraka.
Hizo pesa si wangeleta huku ili kuweza kua na ongezeko la mishahara
 
... pia huyu ndiye mwanzilishi wa Kanisa Anglikana (Church of England) baada ya ombi lake la kuongeza mke kukataliwa na Vatican. Alikuwa ni mfuja mali sio mchezo (extravagant) akawa tipwatipwa haswa kiuno inchi 54; akiupata ufalme bado kinda (18). Alioa hadi wake 6.
Huyu alikuwa JIWE kweri kweri.Au uongo ndugu zangu?
 
Back
Top Bottom