Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Inasemekana mchezaji emanuel okwi,jana alimpiga kichwa kwa maksudi kocha wa timu hiyo omog,baada ya kocha huyo kutaka maelezo ya kiundani kutoka kwa mchezaji huyo,baada ya kuchelewa kujiunga na kambi ya timu hiyo,okwi alikuwepo kwao uganda kuiwakilisha the cranes kwenye michuano ya awalimya kombe la dunia kwa bara la afrika,uongozi wa simba uliomba jambo ili liwe la siri,lkn inasemekana mchezaji mmoja ambaye kwa sasa anasugua benchi kutokana na maelekezo kiongozi mmoja wa juu simba,ndie alievujisha siri hii