Mfalme Okwi aanza cheche zake Simba SC

Mkude anawadanganya nyie, ngoja asugue benchi akome usinitch
 
Inasemekana eti akitoa droo tena kocha anatupiwa virago
 
Watanzania ni watu tunaopenda Sana majungu sijui kwanini tupo Hv. Ajabu ipi watu kugombana vipi tunageuza tukio last bahati mbaya na kujifanya kuwa la kweli.? Kwann tumekuwa dhaifu kusimama ktk mambo ya ukweli na ya Kujenga Nchi ila tumeamua kuwa jasiri ktk kuusemea na kushangilia uongo ktk mitandao na mikahawani. Nguvu tunazotumia ktk kusema uongo tungetumia ktk kweli hakika tungefika mbali Sana. [emoji184] khs okwi alimpiga kichwa kocha wk Makusudi siamini. Ht km ulieandika Mada hii hupendi simba bado uongo wako ni dhambi Kwa mungu. Niyvyema kuwa majasiri ktk ukweli ni uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…