The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 1,497
- 2,681
Hata mfalme sulemani hakuandika kitabu cha Mithali na Wala si kwamba alikuwa na hekima kuliko wote.
Bali vitabu vya Mithali viliandikwa na wanandishi wengine wa Kiyahudi ambapo zama za mfalme Sulemani ili maandiko yako yapate kibali na kuhifadhiwa ilikuwa sahihi kuhifadhiwa kwa mfalme sulemani thus akaonekana ndie mwandishi wa vitabu hivyo.
Mfalme Sulemani aliandika kitabu kimoja tu kinaitwa hekima ya sulemani na Mithali viliandikwa na wanandishi wengine akakabidhiwa kama mfalme avitunze.
Je, umeshawahi soma hekima za Yoshua Bin Sita zitafute kwenye Biblia ya wakatoliki ushibe hekima tele zile zimeshiba zaidi ya Kitabu cha hekima ya sulemani na Mithali.
Bali vitabu vya Mithali viliandikwa na wanandishi wengine wa Kiyahudi ambapo zama za mfalme Sulemani ili maandiko yako yapate kibali na kuhifadhiwa ilikuwa sahihi kuhifadhiwa kwa mfalme sulemani thus akaonekana ndie mwandishi wa vitabu hivyo.
Mfalme Sulemani aliandika kitabu kimoja tu kinaitwa hekima ya sulemani na Mithali viliandikwa na wanandishi wengine akakabidhiwa kama mfalme avitunze.
Je, umeshawahi soma hekima za Yoshua Bin Sita zitafute kwenye Biblia ya wakatoliki ushibe hekima tele zile zimeshiba zaidi ya Kitabu cha hekima ya sulemani na Mithali.