BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
MESSI ATWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA UEFA

Mfalme wa soka ulimwenguni, Lionel Messi ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa wiki katika UCL.
Messi amewashinda Matthijs de Ligt wa Ajax, Heung-Min Son wa Tottenham na Roberto Firmino wa Liverpool ambao aliingia nao fainali....