Former president UruguayNi Raisi wa nchi gani huyo?
Alikuwa Rais wa Uruguay lakini hivi sasa hayupo madarakani ingawaje mke wake mwenye life style kama hiyo, kwa sasa ndie Makamu wa Rais!Ni Raisi wa nchi gani huyo?
Kama umesoma historia yake huyu jamaa alikuwa na ugonjwa w akili. vilevile umaskini nafikiri uko kwenye damu yake.Former president Uruguay
Kama alikuwa mgonjwa wa akili na ukute hiyo quote aliisema yeye basi alikuwa kichaa bora kabisa kuliko wengi wetu hapa tunaojiita wenye akili timamu.Kama umesoma historia yake huyu jamaa alikuwa na ugonjwa w akili. vilevile umaskini nafikiri uko kwenye damu yake.
So, what are you trying to say??Kama umesoma historia yake huyu jamaa alikuwa na ugonjwa w akili. vilevile umaskini nafikiri uko kwenye damu yake.
Kwani umeambiwa huyo Raisi wa Uruguay anashinda kwenye Camera?Jiwe akifanya yote haya masikin wa Mungu ataambiwa anatafuta kiki
Kama kiswahili hujaelewa hizi lugha za kuja na melia utaelewa kweli? 🤣 🤣 its a Joke manSo, what are you trying to say??
Hii ndoto unayoota hii!!Jiwe akifanya yote haya masikin wa Mungu ataambiwa anatafuta kiki