Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna jamaa alitukana jf na mods tusi baya la nguoni uzi wake ukafutwa fasta. Kuna watu wana akili mbovu sana, huenda wana matatizo ya akiliMara nyingi Max huwa anadai JamiiForums sio mali yake ni mali yetu. Sasa nikianza kufanya harakati za kutaka ukurugenzi mnadhani Max atakubali?
Sasa jiongezeni na kule kwa yule kamanda.
HALAFU MODS HUU UZI SIO WA KUFUTA, BORA UENDE HATA CHIT-CHATS.
potelea mbali hata akishindwa itakuwa amesababisha mengi kufunulika ndani ya vyama vyama vyoteTangu Lissu atangaze nia tunashuhudia mengi sana.
Mmmh!!shauri yako,ukipigwa ban,utakuwa umejitakia mkuuIli uwagonge mods wetu?