mfano setillites zikija kusoma ID fakes za humu na kutoa majina kamili itakuwaje ?

soweto85

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2016
Posts
301
Reaction score
247
za asubuhi wapendwa !
nimewaza kwa sauti tu. hivi ikatokea maajabu ya dunia siku members wanaingia jf, wanakuta kwenye ID zao mbele kuna jina kamili, lile lile mtu analotumia kama official name, mambo yatakuwaje ? na ukiangalia jinsi watu wanavyojiachia humu, eeeeeeehe !!
navuta picha kwa mbaali !!
wakina miss chagga, paprika, mahondaw, miss natafuta n.k, wakiwa ndani ya mahijabu ya kininja...!!!
brother mshana jr, buji buji, daby, n.k, wakiwa ndani ya kofia kubwa za pama na miwani ya jua ya kufa mtu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji125] [emoji125] [emoji125]...!!
nieleweke nasema kwa mfano tu..!!
j'pili njema wapendwa.
 
Haina uwezo huo kwangu maana hata e mail address yangu ina jina fake na hakuna sehemu niliyojaza jina sahihi, hata TCRA wakisoma jina la SIM card ni fake.
Labda nyie mnaotumia Emails address ya jina sahihi.
 
Haina uwezo huo kwangu maana hata e mail address yangu ina jina fake na hakuna sehemu niliyojaza jina sahihi, hata TCRA wakisoma jina la SIM card ni fake.
Labda nyie mnaotumia Emails address ya jina sahihi.
sawa mkuu, hii ni j'pili nimesema tuwaze kwa mfano tu, tuna pumzisha brain zetu !!
 
Mi sina wasiwas maana ni jina langu so siogop waje tu
 
mkuu nafikiri hili sijaweka sawa, nilimaanisha kwamba watu wanavyojiachia kuongelea papuchi na mihogo. sasa humu hatujuani inawezekana mtu akawa anajibishana hata na mtu wake wa karibu sana. sasa hiyo aibu hiyo ...[emoji16][emoji16][emoji16] !!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…