Mfano wa wazi kuwa nidhamu inalipa ni MC Eliud

Mfano wa wazi kuwa nidhamu inalipa ni MC Eliud

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Huyu Jamaa kwa sasa nadhani ndo anatrend nafasi ya kwanza kwenye upande wa macomedy lakini ni wazi hata kwenye maisha ya kawaida ili upende usiboe watu inafaa uwe na nidhamu ya hali ya juu.

Nidhamu itakuletea Michongo ile ya muda mrefu ukiaminika ila ukiwa huna nidhamu utaweza kukubalika ila Kwa muda mrefu baadae watu wanakuchoka unakalishwa.

Ingawa hata bila nidhamu hela utapata kama ulivyozipata nyingine ila watu wanakuwa na wasiwas na wewe muda wote ila nidhamu ya kweli utapendwa muda mrefu.
 
Huyu Jamaa Kwa sasa nadhani ndo anatrend nafasi ya kwanza kwenye upande wa macomedy lakini ni wazi hata kwenye maisha ya kawaida ili upende usiboe watu inafaa uwe na nidhamu ya hali ya juu.. Nidhamu itakuletea Michongo ile ya muda mrefu ukiaminika ila ukiwa huna nidhamu utaweza kukubalika ila Kwa muda mrefu baadae watu wanakuchoka unakalishwa. Ingawa hata bila nidhamu hela utapata kama ulivyozipata nyingine ila watu wanakuwa na wasiwas na wewe muda wote ila nidhamu ya kweli utapendwa muda mrefu..
Kila siku nasemaga jamii forum ya wasomi inakufa .....yamekuja majamaa ya facebook tu

Haya umeandika kichwa kizuri afu umekuja umeandika uharisho haeleweki kabisa
 
Mleta mada kichwa cha habari kiko vizuri ila habari yenyewe haieleweki hii inaleta hisia kwamba huenda wewe ni eliud mwenyewe au chawa wa eliud
NB jamaa namkubali sana anajitahidi
 
waTz mbona comments zenu zimejaa chuki wivu husda na maisha magumu... Fanyeni kazi mtaonekana acheni kulala seblen
 
Huyu Jamaa kwa sasa nadhani ndo anatrend nafasi ya kwanza kwenye upande wa macomedy lakini ni wazi hata kwenye maisha ya kawaida ili upende usiboe watu inafaa uwe na nidhamu ya hali ya juu.

Nidhamu itakuletea Michongo ile ya muda mrefu ukiaminika ila ukiwa huna nidhamu utaweza kukubalika ila Kwa muda mrefu baadae watu wanakuchoka unakalishwa.

Ingawa hata bila nidhamu hela utapata kama ulivyozipata nyingine ila watu wanakuwa na wasiwas na wewe muda wote ila nidhamu ya kweli utapendwa muda mrefu.
UKO SAHIHI,
JAMMA YUKO VIZURI.
NAHIS NDIYE MCHEKESHAJI BORA KWA SASA.
WENGI WANA VAA UHUSIKA WA KIKE WAPATE MASHABIKI.
 
UKO SAHIHI,
JAMMA YUKO VIZURI.
NAHIS NDIYE MCHEKESHAJI BORA KWA SASA.
WENGI WANA VAA UHUSIKA WA KIKE WAPATE MASHABIKI.
Lile kundi la cheka tu lote mimi nalikubali hawatumii nguvu lakini wanajua Comedy, kuanzia
TX Dullah
Leonardo Butindi
Ndaro Mjeshi
Steve Mweusi
Shafii na wengine, naona wanajitahidi kidogo
 
Lile kundi la cheka tu lote mimi nalikubali hawatumii nguvu lakini wanajua Comedy, kuanzia
TX Dullah
Leonardo Butindi
Ndaro Mjeshi
Steve Mweusi
Shafii na wengine, naona wanajitahidi kidogo
Mkuu labda contents za mitandaoni,ila kwa stand up comedy Eliudi yuko vizuri,hatumii nguvu ,hao wengine kwenye contents za mitandaoni sawa,sasa hawa kina ndaro wanaforce mno kwenye comedy live
 
Back
Top Bottom