1. Je atapewa chakula cha mchana kwa siku atakapokua kazini?Wakuu,
Kuna nafasi ya kazi kwa mwanamke(temporary)ya kufanya usafi ofisini. Ofisi ipo Victoria/Regent Estate mtaa wa Migombani karibu na NEMC au Kairuki hospital.
Muda wa kazi ni kuanzia saa moja na nusu asubuhi na kutoka ni saa 5asubuhi.
Mshahara ni 150,000 kwa mwezi.
Kwa anayehitaji naomba ani inbox.
Bora ungeuliza chai mkuu,1. Je atapewa chakula cha mchana kwa siku atakapokua kazini?
2. Je atapewa pesa ya usafiri tofauti na mshahara?
Samahani mkuu, nimeuliza tu ili kupata ufahamu/kujifunza
Breakfast boss lunch saa 5?π1. Je atapewa chakula cha mchana kwa siku atakapokua kazini?
2. Je atapewa pesa ya usafiri tofauti na mshahara?
Samahani mkuu, nimeuliza tu ili kupata ufahamu/kujifunza
Bora ungeuliza chai mkuu,
Mtu anatoka kazini satano asubuhi,sioni sababu ya kupata hiyo lunch. Maybe sina uzoefu na haya mambo niwe nimekosea.
Ohhhh.... muda wa kutoka nilikua sijaona, asante kwa ufafanuziBreakfast boss lunch saa 5?π
Kabisa,ila kwa mtu anaeishi maeneo hayo ya ofisi inafaa sana. (Pia awe kwa wazazi au ndugu,sio mpangaji)Hiyo hela inaweza kuishia katika nauli
KaribuNahtj
ππ Omba tu mkuu,acha kusingizia mambo mengine.Kuna mtu nitampa access ya account yangu akucheki Mkuu
Muda wa kazi ni kuanzia saa 1:30 hadi 5:00 asubuhi. Lunch time inakuwa haijafika hivyo hapana. Usafiri pia hapana1. Je atapewa chakula cha mchana kwa siku atakapokua kazini?
2. Je atapewa pesa ya usafiri tofauti na mshahara?
Samahani mkuu, nimeuliza tu ili kupata ufahamu/kujifunza
Ni kweli ninahitaji job lakini hii nimeona inamfaa mdadaπ, kama una mchongo usisite kunipm Mkuuππ Omba tu mkuu,acha kusingizia mambo mengine.
ππ All the best mkuu.Ni kweli ninahitaji job lakini hii nimeona inamfaa mdadaπ, kama una mchongo usisite kunipm Mkuu