Ninamsikitikia mkewe Getrude kwani ni mtoto mdogo sana na jamaa gemu ndio imekwisha, ngoja nimuulize kama na weza kumsaidia kitu chochote.
Mpaka sasa hakuna aliyeweza kuthibitisha taarifa hizi za Muzamir Katunzi kukatwa nyeti uchina.
Logocal conclussion ni kuwa this is all Hoax!!
Tuna mambo mengi tunayoweza kujadili kuliko huu uzushi.
weeee nawe tuondoleeee upuuuzi wako hapoa kama ndio na wewe unakaa mjini kwa kumtegemea muzamil kivyakooooo , nenda ukamuuulize face to face uone atavyojibu macho chini sasa kama wewe unafadhiliwa nae sio sisi na kama unaona hatuna ushahidi nenda kampige picha nyeti zake ubandike hapa tuzione usijipige mwenyewe tu ........ kama bwana wakooooo ndio ukanunueee vibrator tena avae akuridhishe ..... mijitu mingine bwanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ovyoooooooooooooooooooooooooooTatizo la msingi ni kuwa pale ushahidi wenu mnaoyajua matendo yote maovu ya mnaowatuhumu unapohitajika, huwa hamjitokezi mahakamani au hata polisi tu kutoa taarifa zenye kuweza kusaidia.
Na kwakuwa mahakama huendeshwa kwa kufuata misingi ya sheria na haki za binadamu, hakuna anayeweza kufungwa kwa kufuata hisia tu za majority au minority bila kuwapo ushahidi usiotia shaka juu ya tuhuma hizo.
Labda wanasheria waliobobea wanaweza kutoa semina elekezi kwa wadau hapa
UMSAIDIE NINI WACHA NAE WAMCHAPIE MKE WAKE KAMA ALIVYOCHAPA WAKE ZA WENGINE. RUSHA PICHA YA MKEWE KAMA ANALIPA TUANZE KUFANYA VUITUUZ. sTAREHE MBONA BADO ATAPATA AGEUKE NAYE AUNT MZAMIL
LIWE SOMO KWA WAHARIBIFU WOOOOTE NCHINI!
Mzamil Kapigwa chini na mkewe baada ya kuona performance hakuna. Ameoa kademu kengine ka vodacom kanaitwa jasmin kachangu tu washikaji wanakachapa hadi leo nasikia anataka kukaachisha kazi.
Acha akome utapeli. Huo ndio mshahara wake.
Duuuuuu kumbe ameoa kale ka jasmin uwiiiiiiiiiiiii jamaa yangu mmoja wa voda alishakulaaaa na kusaza miaka ya 2004 duh kweli ndege mjanja hunasa kwenye tundu mbofu mbofu
pedejee ni kifaransa PDG
President Director General.....
Pole Papaa Mzamir, kama ni kweli basi chukulia kuwa ni mtihani wa maisha na kama ni uzushi pia ni mtihani, iweje uzushiwe kitu bila shaka lisemwalo lipo. Rudini kwenye biashara halali, mambo ya utapeli yatawafikisha pabaya, hasa dunia tuliyopo na tuelekeako ambapo uwazi ndio dira na ukweli ndo dhamira. Hivi mnategemea watu wawatazame vipi kwa kugawa pesa kwenye shoo ilhali wenye shida wapo na hawapati hiyo misaada yenu? Jiangalieni, umaarufu gharama yake ni kubwa. Muulizeni Pedeshee Omari Kalinga ndo babaenu aliaga umasikini, nyie mnabeep tuu, ila siku Mungu akiwapigia mtakiona cha motoKuna taarifa kwamba mfanyabiashara maarufu wa Dar es Salaam Ajulikanaye kwa jina la Mzamir hivi sasa hana tena uume baada ya kufanyiwa unyama wa kutisha huko China. Kwa mujibu wa mtu wa karibu wa mfanyabiashara huyo, Mzamir alitekwa na watu ambao inadaiwa aliwahi kuwatapeli madini huko Dar na baadaye wakamuwekea mtego ili aende China ambako alijikuta theatre akiwa hana uume. Aliokotwa akiwa hajitambui akakimbizwa hospitali ambako jamaa walichofanya ni kuzuia bleeding na kutibu kidonda. Naambiwa sasa hivi hana raha na nyodo zote zimemuishia.
Ndio kaoa jusmin,
Yano haelewi wala hasikii. Sasa sijui analalaje nako na wakati hana mashine?? Au kako after money..!!!
Kuna taarifa kwamba mfanyabiashara maarufu wa Dar es Salaam Ajulikanaye kwa jina la Mzamir hivi sasa hana tena uume baada ya kufanyiwa unyama wa kutisha huko China. Kwa mujibu wa mtu wa karibu wa mfanyabiashara huyo, Mzamir alitekwa na watu ambao inadaiwa aliwahi kuwatapeli madini huko Dar na baadaye wakamuwekea mtego ili aende China ambako alijikuta theatre akiwa hana uume. Aliokotwa akiwa hajitambui akakimbizwa hospitali ambako jamaa walichofanya ni kuzuia bleeding na kutibu kidonda. Naambiwa sasa hivi hana raha na nyodo zote zimemuishia.