nyamadoke75
Member
- Apr 1, 2020
- 93
- 288
View: https://youtu.be/lzqi1c0ZS1M?si=FK6R2UCMqI0h-oSz
Mfanya biashara maarufu nchini amelilia waziri Mwinyi kushughulika na genge la matapeli wa mtandaoni wanao tapeli watanzania wa bara na visiwani ambapo hivi karibu aliagiza baiskeli ya mtoto kwa kutoa shilingi laki nne na tisini lakini hajapata baiskeli na matokeo yake amekosa na fedha na baiskeli.