Mfanyabiashara aloingiza Mafuta yalowaathiri zaidi ya watu 200, Awalipe fidia waathirika wote , na achukuliwe hatua za kisheria

Mfanyabiashara aloingiza Mafuta yalowaathiri zaidi ya watu 200, Awalipe fidia waathirika wote , na achukuliwe hatua za kisheria

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Haya mambo yanatakiwa yawe yanapelekwa hivihivi.

Huwezi kuathiri watu zaidi ya 200 , alafu wao ndio wawajibike kujitibia.

Hata hivo tunachokiona ni Athari ya Nje, vipi huko Ndani?.

Soma Pia: DAR: Zaidi ya Watu 200 wadhurika ngozi wakidaiwa kula Chakula chenye Mafuta yenye Simu huko Temeke

Ikiwa hizo ni Athari za muda mfupi, nani amewaza kuhusu Athari za muda mrefu Kwa Hawa jamaa zetu?.

Maajabu utashangaa Mfanyabiashara huyo, atatoa Kitu, alafu hiyo Report Sasa itakavyotoka ? Unaishia kushika Kichwa.

Swala linazimwa kimya kimyaaa, nyinyi mloathirika, mtajijua wenyewe .

Tafadhali sana narudia, tunachokiona ni Athari za Nje na za Muda mfupi.

Afya ya Raia, ni sehem ya Usalama wa Nchi .

Usalama wa Taifa wanao Wajibu mkubwa 100% katika kulinda Afya ya Mtanzania , usijikite kwenye Siasa tu.

TBS mnaowajibu mkubwa sana

TAKUKURU , Rushwa inaweza kupelekea upotevu mkubwa wa Haki za Hawa wahanga .


Ifikie Mahali Nchi iongozwe Kwa Uzalendo na Kila Mmoja aiwajibikie Nchi yetu.

Suala hili Serikali isilichukulie Kichawachawa .

Haya ni Maisha ya watu.
 

Attachments

  • 5929966-5358adcd11ca564ef6ab279deb233ae9.mp4
    14 MB
Haya mambo yanatakiwa yawe yanapelekwa hivihivi.

Huwezi kuathiri watu zaidi ya 200 , alafu wao ndio wawajibike kujitibia.

Hata hivo tunachokiona ni Athari ya Nje, vipi huko Ndani?.

Ikiwa hizo ni Athari za muda mfupi, nani amewaza kuhusu Athari za muda mrefu Kwa Hawa jamaa zetu?.

Suala hili Serikali isilichukulie Kichawachawa .

Haya ni Maisha ya watu.
Wafanyabiashara wana honga watumishi wa serikali (decision makers)
 
Hawa TBS mpaka bidhaa yenye athari inaingia sokoni wao wànafanya kazi gani? Tumekuwa na nchi ambayo vyombo vya usalama wa raia vimegeuka kuumiza raia
 
Haya mambo yanatakiwa yawe yanapelekwa hivihivi.

Huwezi kuathiri watu zaidi ya 200 , alafu wao ndio wawajibike kujitibia.

Hata hivo tunachokiona ni Athari ya Nje, vipi huko Ndani?.

Soma Pia: DAR: Zaidi ya Watu 200 wadhurika ngozi wakidaiwa kula Chakula chenye Mafuta yenye Simu huko Temeke

Ikiwa hizo ni Athari za muda mfupi, nani amewaza kuhusu Athari za muda mrefu Kwa Hawa jamaa zetu?.

Maajabu utashangaa Mfanyabiashara huyo, atatoa Kitu, alafu hiyo Report Sasa itakavyotoka ? Unaishia kushika Kichwa.

Swala linazimwa kimya kimyaaa, nyinyi mloathirika, mtajijua wenyewe .

Tafadhali sana narudia, tunachokiona ni Athari za Nje na za Muda mfupi.

Afya ya Raia, ni sehem ya Usalama wa Nchi .

Suala hili Serikali isilichukulie Kichawachawa .

Haya ni Maisha ya watu.

View attachment 3202999
Si wataje brand ya hayo mafuta?
 
Ipo haja sasa ya wananchi kuwa makini na vyakula tunavyonunua. Kwanza kabisa kusoma taarifa zinazoandikwa kwenye stickers za bidhaa. Nani ajuaye pengine hayo mafuta yalikuwa yameshafikia mwisho wa muda wa matumizi(expire date). Lakini hii ni wito kwa wakulima wa mazao ya alizeti, karanga, maboga kuongeza uzalishaji ili kuondokana na adha ya matumizi ya vyakula hatarishi. Sina hakika ni mafuta ya aina gani lakini nahisi yatakuwa hayatokani na mbegu za mimea.
Afya ni mtaji wa kwanza kwa kiumbe chochote kile kabla ya hela, tujitahidi kulinda afya zetu wenyewe bila kusubiri msaada wa wanasiasa. Tusisubiri kuambiwa kitu fulani usitumie, hii ni kuonyesha kwamba hatupo makini katika matumizi ya maarifa tuliyoyapata shuleni na vyuoni.
 
Hawa TBS mpaka bidhaa yenye athari inaingia sokoni wao wànafanya kazi gani? Tumekuwa na nchi ambayo vyombo vya usalama wa raia vimegeuka kuumiza raia

Kwani tangu lini walikuwa kwa ajiri ya kusaidia raia? Hao wanawaza upigaji tu
 
Wakifanya hivyo kwa huyu mmoja walau wengine watakua makini.

Matumizi ya vitu vilivyoisha muda wake ni makubwa ukizingatia kua wabongo wengi hawasomi maelekezo kabla ya kutumia kitu.
 
Ipo haja sasa ya wananchi kuwa makini na vyakula tunavyonunua. Kwanza kabisa kusoma taarifa zinazoandikwa kwenye stickers za bidhaa. Nani ajuaye pengine hayo mafuta yalikuwa yameshafikia mwisho wa muda wa matumizi(expire date). Lakini hii ni wito kwa wakulima wa mazao ya alizeti, karanga, maboga kuongeza uzalishaji ili kuondokana na adha ya matumizi ya vyakula hatarishi. Sina hakika ni mafuta ya aina gani lakini nahisi yatakuwa hayatokani na mbegu za mimea.
Afya ni mtaji wa kwanza kwa kiumbe chochote kile kabla ya hela, tujitahidi kulinda afya zetu wenyewe bila kusubiri msaada wa wanasiasa. Tusisubiri kuambiwa kitu fulani usitumie, hii ni kuonyesha kwamba hatupo makini katika matumizi ya maarifa tuliyoyapata shuleni na vyuoni.
Hakika
 
Back
Top Bottom