Mfanyabiashara Said Mohammed Saad wa Home Shopping Center (GSM Foundation)

mfadhili wa naninihiii,mahela yanatoka siku hiz tu huko dsm,tunasubiria milioni 50 za pambano la bela na banana la kuijipongeza kwa mikutano mubashara iliyotatua kero za dsm na kuzimaliza kabisa
 
Jeshi letu la polisi halina mfumo wa kulinda key informant.
 
Hapa ndipo ninaposhindwa kuielewa Tanzania kwa upana nisioufikia kwakweli... Huyu jamaa na kampuni zake za uyoga anaendelea kutambaaaaa kama matembere na shutuma zikimwagika na sasa hivi kaingia kuisaidia jamii pamoja na serikali nimeona magari yake yakitumika kwenye ziara za mkuu wa jiji maarufu.

Nashindwa kuelewa UADILIFU wa viongozi wa serikali zetu hasa za Kiafrica, mtu anatajwa kwa shutuma nyingi hasa ambazo anakiuka sheria kukandamiza wengine na kujiiunua mwenyewe na kuiibia serikali mapato lakini bado anakumbatiwa na viongozi hao hao wa serikali pamoja na watendaji wake..

Sasa jamani mimi binafsi naomba kitabu hiki kifungwe kama inaonekana hawezi kufanywa kitu basi aachwe na atambe naye tuje tumchague sijui ubunge...

.....Ni Tanzania pekee wezi wanatamba na kuandamana na viongozi wa serikali.....!!!!
 

mtoa mada ile campuni inayoitqa silence pua ni yake?
 
Wafukunyuzi katika ubora wao.
 
Kuna kitu ambacho mi nimekigundua mkulu kwa sisi wanyonge ndio sifa kututumbua ila kwa madoni thubutu na mm hapo ndipo namdharau mkulu wetu inamaana power yake ni kututia adabu sisi kajamba nani tena nilisikiaga tetesi alishawahi kumwambia mkulu wetu kipindi hicho waziri kwamba siongei na mbwa bali naongea na mwenye mbwa
 
Uraia wa nchi mbili kwa hapa kwetu alipewa na nani?
 
Mhh..is this real ama majungu haya?

Hivi watu wa usalama wana uzalendo na hii nchi kweli?

Afu kwa nijuavyo Tz huwezi kuwa na uraia wa nchi mbili....,huku lazima ukane Uraia wa nchi moja...

Majitu kama haya unaya eliminate tuu...! Hawa ndo wakung'oa kucha sio kina ulimboka...

Huku ingekuta ni korea, unapigwa risasi afu tunakusahau...

Sasa TISS wanadeal na kina Ben saanane amabo wanamiliki bustani ya mgomba tuu huko Rombo..ili hali kuna washenzi kama hawa..[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Naona heading imekuwa doctored,
mwaka 2012 hakukuwa na GSM FOUNDATION,

wala huyo said sio boss wa GSM FOUNDATION.

hizi habari ni sawa tu na uzushi wa magari 700 ya washawasha
 
Mdogo wao kupewa mimba wamembabu SEYA kijana wa watu. Mbona huyo Ghalib kaaribu(rusha ukuta) sana watoto wa kibongo China serikali haija mbabu Seya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…