Mfanyabiashara Said Mohammed Saad wa Home Shopping Center (GSM Foundation)

Nilisikia HSC mwaka 2015 kuelekea uchaguzi ilitangazwa muflisi,,,,, na sasa GSM foundation ndoo imeshika kasii,,, yetu machoo,,, ila uovu hautatamalaki kamwe,,,,, Mungu anaonaa,,,,
Yeah,tulijitangaza mufilisi na kubadili jina maana tulionywa kwamba atakaingia ni mtata. BTW kuna GSM company na GSM foundation. Ile company imerithi shughuri zote za HSC and other companies. ..teh teh teh...
 
 
Kuna mtu alianzisha Uzi akihusisha kukamatwa kwa Manji na bifu lake na Mzee Mengi Lakini kinachoonekana sasa huenda alizinguana na hao GSM sasa wameamua kumkomesha Hata body language yake Jana akiwa mahakamani inaonyesha kabisa keshajua anapambana na watu ambao wako tayari kumshikisha adabu by hooks and crooks na anatambua kwa nguvu waliyonayo hatawaweza Alionekana kesha kata tamaa kiaina
 
Duuu!!! Hili lijamaa lina roho mbaya hatari!!! Hata ndugu yake!!! So huyo sista ake atamuoa yy?!!! Kweli serikali yetu imelala tena usingizi Wa pono!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…