Mfanyabiashara Said Mohammed Saad wa Home Shopping Center (GSM Foundation)

....tena myemeni mwenzie na huku kashafumuliwa marinda!!! Duu!!! Kuna wana roho za kinyama hatari!!!!
 
....tena myemeni mwenzie na huku kashafumuliwa marinda!!! Duu!!! Kuna wana roho za kinyama hatari!!!!
 
Kwani ni series ya kikorea hii?? Kina Jumong?
hujakosea uyo jamaa ni wakuuwawa kabisaaa
 
Duuuuh...
Tanzania Tanzania...
Nakupenda kwa moyo wote...
Inch yangu Tanzania...
Jina lako ni tamu sana....
[HASHTAG]#nchi[/HASHTAG] yangu hiyo#
 
Duuuuh...
Tanzania Tanzania...
Nakupenda kwa moyo wote...
Inch yangu Tanzania...
Jina lako ni tamu sana....
[HASHTAG]#nchi[/HASHTAG] yangu hiyo#
Nilalapo nakuota wewe
Niamkapo ni heri mama weee.....
 
GSM ni mtandao mkubwa sana wenye mizizi iliyoota kila kona ya nchii hii.Kamwe haitoguswa na mtu yeyote kama Kuna ambaye haamini maneno yangu akisikia imezungumziwa ama kutikiswa kwa namna yoyote ile anichome mkuki mk...ni.That is all...
 
Kumbe Mwenyekiti ameanza kutuhumiwa zamani
 
Nadhani gramat
I think he made a grammatical Error
 
GSM ni mtandao mkubwa sana wenye mizizi iliyoota kila kona ya nchii hii.Kamwe haitoguswa na mtu yeyote kama Kuna ambaye haamini maneno yangu akisikia imezungumziwa ama kutikiswa kwa namna yoyote ile anichome mkuki mk...ni.That is all...

Kama makonda na saga ya vyeti inakuwa Ngumu,huyo anaguswaje?
 
Kuna mtu anaishiaga kusema kuna watu walikuwa wanakusanya kodi zetu huko China na sasa Wamebadilisha jina tunawajua
 
Kama kweli wameamua kupapambana Drugs Lords hawa GSM inabidi washughulikiwe haraka.
Tuma huu uzi kwa kamishina tuone kama kweli wanania ya dhati kupambana na dawa za kulevya.
Mbona mnawasema hivi, si nasikia wana foundation kama ile iliyozinduliwa juzi na mstaafu ikisaidia sana watu!
 
Umeongea vizuri lakini unaharibu kuwa Rais atoke chama tofauti. Magic akipata info anamshughulikia
 
Reactions: SDG
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…