Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
hakika kweli dunia inaelekea kubaya, majuzi binti mmoja walikutwa wakijibizana na dada mmoja mweupe kiasi kwamba walikuwa wakitoleana matusi yasioongeleka,,kutokana na hilo mama mmoja akajiolea kuwaunganisha ili kupata tatizo nini;alipooambiwa swala ni huyu anatembea na bwana wangu;mwingine we ndie ulieniletea ukimwi;loh!!!waluipodadisiwa ndipo ilipojulikana walikuwa mende wa yule mwanamziki wa tanzania "MR BLUE""
pole sana kijana naona karibuni umekuwa na kashfa nyingi za ngono kuwa makini kijana
pole sana kijana naona karibuni umekuwa na kashfa nyingi za ngono kuwa makini kijana