Mfanyakazi wa kuuza duka la viatu, rasta anahitajika Dodoma

Mfanyakazi wa kuuza duka la viatu, rasta anahitajika Dodoma

stineriga

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2012
Posts
2,172
Reaction score
887
Mfanyakazi wa kuuza duka la viatu, rasta na vitu vingine anahitajika.

Majukumu:
Atauza vitu vya dukani na kupiga mahesabu ya dukani ya kila siku na kuchukua maoni ya wateja na kupendekeza nini wateja wanahitaji.

Kituo cha kazi/duka lilipo: Mkonze, Dodoma

Jinsia: awe mwanamke /msichana

Umri: 18-25

Mshahara: Tsh 70,000/-

Kuishi: Atalala kwa boss sio wa kwenda na kurudi.

Kula: Kwa boss

Muda wa kazi: saa 2asubuh hadi saa 3usiku

Elimu: Kuanzia darasa la saba, mwenye elimu ya form four atapewa kipaumbele.

Wadhamini: Awe na wadhamini wawili watakaomuandikia barua ya kumdhamini na wenye vitambulisho vya NIDA, na barua ya serikali za mtaa anapotoka.

Kuanza kazi: Awe tayari kuanza kazi mara moja, hata leo kuanza kazi akipatikana.

Jinsi ya kutuma maombi:
Tuma private message , au tuma meseji 0786497948 ukiweka maelezo na namba yako ya simu.

Mengineyo:

Kwa muombaji wa nje ya Dodoma ukikubaliwa kazi uwe tayari kuja kwa nauli yako.

Mwisho wa kupokea maombi tarehe 10/5/2021
 
Mfanyakazi wa kuuza duka la viatu, rasta na vitu vingine anahitajika.

Majukumu:
Atauza vitu vya dukani na kupiga mahesabu ya dukani ya kila siku na kuchukua maoni ya wateja na kupendekeza nini wateja wanahitaji.

Kituo cha kazi/duka lilipo: Mkonze, Dodoma

Jinsia: awe mwanamke /msichana

Umri: 18-25

Mshahara: Tsh 70,000/-

Kuishi: Atalala kwa boss sio wa kwenda na kurudi.

Kula: Kwa boss

Muda wa kazi: saa 2asubuh hadi saa 3usiku

Elimu: Kuanzia darasa la saba, mwenye elimu ya form four atapewa kipaumbele.

Wadhamini: Awe na wadhamini wawili watakaomuandikia barua ya kumdhamini na wenye vitambulisho vya NIDA, na barua ya serikali za mtaa anapotoka.

Kuanza kazi: Awe tayari kuanza kazi mara moja, hata leo kuanza kazi akipatikana.

Jinsi ya kutuma maombi:
Tuma private message , au tuma meseji 0786497948 ukiweka maelezo na namba yako ya simu.

Mengineyo:

Kwa muombaji wa nje ya Dodoma ukikubaliwa kazi uwe tayari kuja kwa nauli yako.

Mwisho wa kupokea maombi tarehe 10/5/2021
Acha kupost upuuzi
 
Nna ndugu yangu ananilindia nyumba yupo kizota ,yupo home tuu,angefaa kwa hiyo kazi,

Mshahara sasa... nadhani pocket money nayompa inazidi huo mshahara mbali,bora akae tu home[emoji3]
 
Mshahara elfu 70?
Mkuu mshahara wa muuza duka kima cha chini kinatakiwa kiwe tsh ngapi? Halafu tena muuza duka anayekula milo mitatu na analala kwa boss mshahara unatakiwa uwe tsh ngapi? Embu kuwa mkweli tu.
 
Nna ndugu yangu ananilindia nyumba yupo kizota ,yupo home tuu,angefaa kwa hiyo kazi,

Mshahara sasa... nadhani pocket money nayompa inazidi huo mshahara mbali,bora akae tu home[emoji3]
Sasa unafikiri anakaa bure tu, hafanyi usafi? halindi mali zako? hiyo pocket money ndio mshahara wake.
 
Mkuu mshahara wa muuza duka kima cha chini kinatakiwa kiwe tsh ngapi? Halafu tena muuza duka anayekula milo mitatu na analala kwa boss mshahara unatakiwa uwe tsh ngapi? Embu kuwa mkweli tu.
Ukiongeza hizo gharama za kula na kulala mshahara utakuwa ngapi
 
Toa kula na kulala kwako utatoa mshahara bei gani Nina binti yupo tayari ili ataishi kwangu kwa usalama wake. Kazi mwisho saa 1 jioni
 
Ukiongeza hizo gharama za kula na kulala mshahara utakuwa ngapi
Watu mnajitoa ufahamu, niweke vigezo vya kazi kwa namna ninavyotaka, halafu eti unakuja unanipangia eti toa kula na kulala mshahara utakua Tsh ngapi.

Weka wewe bango la kazi halafu weka vigezo na mishahara unaotaka usimpangie mtu. Lakini kwa tangazo hili vigezo ni hivyo na mshahara ni huo.
 
Toa kula na kulala kwako utatoa mshahara bei gani Nina binti yupo tayari ili ataishi kwangu kwa usalama wake. Kazi mwisho saa 1 jioni
Muajiri wewe, mpangie vigezo na masharti wewe, sawa?
 
Back
Top Bottom