Sehemu ya kazi ni Mbezi Beach-Dar es salaam.
Awe na umri kati ya miaka 22 na 30
Awe na uzoefu wa kazi za ndani na kulea mtoto wa mwaka mmoja.
Awe anajua kanuni na sheria za kazi kama mfanya kazi wa ndani.
Awe na akili timamu.
Asiwe mwizi au mdokozi nk.
Awe na mdhamini.
Mshahara ni makubaliano lakini chakula na malazi zitagharamiwa na mwenye nyumba.
kwa mawasiliano piga namba 0713821301
Awe na umri kati ya miaka 22 na 30
Awe na uzoefu wa kazi za ndani na kulea mtoto wa mwaka mmoja.
Awe anajua kanuni na sheria za kazi kama mfanya kazi wa ndani.
Awe na akili timamu.
Asiwe mwizi au mdokozi nk.
Awe na mdhamini.
Mshahara ni makubaliano lakini chakula na malazi zitagharamiwa na mwenye nyumba.
kwa mawasiliano piga namba 0713821301