Mfanyakazi wa ndani mtu mzima anahitaji kazi kwa Tsh. 150,000

Mfanyakazi wa ndani mtu mzima anahitaji kazi kwa Tsh. 150,000

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
27,031
Reaction score
49,928
Mi mamaa mtu mzima anahitaji kazi
Kulea wazee. Kuangalia mzazi aliejifungua n.k
Yupo Dar. Kazi kazi za nyumbani. Mshahara uanzie 150,000

Ni mchapakazi. Hana mume wala watoto, sio msumbufu.
 
Back
Top Bottom