Salaam wandugu!
Wadau naombeni msaada wa kisheria kuwa;-
1. Ni kifungu gani cha katiba au sheria inayomzuia mtumishi kama daktari, mwalimu nk kugombea nafasi tajwa hapo juu?
2.Anapaswa kufanya nini anapotaka kutimiza azma yake bila ku-violate sheria husika?
Ahsante
Wadau naombeni msaada wa kisheria kuwa;-
1. Ni kifungu gani cha katiba au sheria inayomzuia mtumishi kama daktari, mwalimu nk kugombea nafasi tajwa hapo juu?
2.Anapaswa kufanya nini anapotaka kutimiza azma yake bila ku-violate sheria husika?
Ahsante