Sheria inatambua umiliki wa biashara na au pango kupitia nyaraka zifuatazo; leseni ya biashara,mmiliki wa TIN NO. mikataba ya pango na au "course of dealings" ambayo itabainisha nani alikua BOSS(mtoa maelekezo/magizo) na nani alikua mfanyakazi(mpokea maelekezo/magizo). Unaweza kunitafuta email address yangu advocatedeon@yahoo.com. Mungu ni mwema na haki yako utaipata,just be calm. Thanks.
Sheria inatambua umiliki wa biashara na au pango kupitia nyaraka zifuatazo; leseni ya biashara,mmiliki wa TIN NO. mikataba ya pango na au "course of dealings" ambayo itabainisha nani alikua BOSS(mtoa maelekezo/magizo) na nani alikua mfanyakazi(mpokea maelekezo/magizo). Unaweza kunitafuta email address yangu advocatedeon@yahoo.com. Mungu ni mwema na haki yako utaipata,just be calm. Thanks.