jamaa ulikuwa unapenda kwenda ulokoni wewe
Katika matokeo ya mtihani wa kufungia Shule wa mwisho wa muhula wa 2013 uliouhusisha kidato cha tatu na nne maarufu mtihani wa tahosa Vijana wamekuwa wapili katika mtihani huo kati ya shule zilizopo katika manispaa ya songea huku somo la physics likiwa la kwanza kuongoza wakifatiwa na Songea boys katika somo la Physics .katika mtihani huo Pongea boys iliongoza .Ongera sana headmaster wa Mfaranyaki Secondary School Mr.Kauga
.
Unaelewa maana ya kongwe bwana mdogo?
Kama unaelewa shule ya kata haiwezi kuwa kongwe?
Wewe umeelewaje maana ya shule kongwe? Unataka kusema Mfaranyaki ni sawa na Songea Boys na Songea Girls? Mfaranyaki imeanzishwa mwaka 2007,hapo utasema ni kongwe? Just improve ur thinking capacity siyo kukurupuka kupost vitu usivyo elewa
.
Sikiliza wewe acha kuwa na fikra mgando...
Kwa akili ya kawaida unaweza kuilinganisha MFARANYAKI na SONGEA BOYS/GIRLS
.
zile ni shule za vipaji bwana mdogo afu zimeanza miaka hiyo sasa leo hii unaweza kuiweka mfaranyaki na boys/girls..... Cha kuwa na mawazo mgando ww.....
.
Sent From My Nokia XL kwa kutumia JamiiForums App
.
Sikiliza wewe acha kuwa na fikra mgando...
Kwa akili ya kawaida unaweza kuilinganisha MFARANYAKI na SONGEA BOYS/GIRLS
.
zile ni shule za vipaji bwana mdogo afu zimeanza miaka hiyo sasa leo hii unaweza kuiweka mfaranyaki na boys/girls..... Cha kuwa na mawazo mgando ww.....
.
Sent From My Nokia XL kwa kutumia JamiiForums App
nasikitikaga sana nikiikumba london ya miaka 5 iliyopita...
kuhusu hiyo mfaranyaki baadae sana.nidham f hakuna taaluma hapo
.
Kaka kuna shule kama BEROYA hakuna kitu kabisa afu ina jina kubwa sana nashangaa watoto wanapelekwa pale wakitokea zambia lakin hakuna kitu...
.
LONDON & BEROYA & MASHUJAA shule vijana wametawaliwa na mapenzi tu hakuna elimu kabisa
.
Beroya usipeleke mtoto pale
.
sasa mkuu unatofautisha vipi mfaranyaki na izo shule unasema? katika suala la mapenzi mfaranyaki inaongoza
.songe grls na boys SIO VIPAJI BALI NI SHULE ZA KITAIFA.
.
Sikiliza wewe acha kuwa na fikra mgando...
Kwa akili ya kawaida unaweza kuilinganisha MFARANYAKI na SONGEA BOYS/GIRLS
.
zile ni shule za vipaji bwana mdogo afu zimeanza miaka hiyo sasa leo hii unaweza kuiweka mfaranyaki na boys/girls..... Cha kuwa na mawazo mgando ww.....
.
Sent From My Nokia XL kwa kutumia JamiiForums App
Mkuu ushabiki mwingine sio mzuri mbona mfaranyaki s.s kwa matokeo hayo hayo imekuwa ya 16 kati ya 22 kimkoa kwa matokeo ya kidato cha kwanza .sawa kwa kidato cha 3 imekuwa ya 2 kati ya 22. Kwa hiyo mimi nilidhani ingeweka mzani sawa kwa kidato cha 1 na 3. KINIDHAMU shule yenu kaka inatakiwa kuongeza juhudi .wanafunzi wenu wamezidi utoro, wanapenda kukaa pale makaburini wakati wa vipindi sijui hamwaoni? Nilikuwa nawashangaa sana mwaka jana sijui kwanini hamkufunga ile kambi ya form 4? Kimaadili ilikuwa "F" mahusiano ya mapenzi kwa wanafunzi yalikuwa waziwazi.
jamaa ulikuwa unapenda kwenda ulokoni wewe
Nahisi wewe ndio una mawazo mgando,ume elewa nilicho ki post kweli? Wewe ulisema Mfaranyaki ni shule kongwe nika kujibu kati ya Mfaranyaki na Songea Boys na Girls ipi ni kongwe? Pia niku sahihishe kidogo kuwa Songea Boys na Songea Girls si shule za vipaji maalum,Tanzania kwa sasa hakuna shule ya serikali ya vipaji maalum,Acha kukurupuka,jaribu ku stay kwenye point