KERO Mfereji wenye maji yenye kinyesi unatumiwa kumwagilia bustani za mbogamboga Kibaha Maili Moja, Wataalamu wetu mko wapi?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
kula mchicha wewe. Kwanza serikali ilitakiwa itengeneze mkonga wa bomba la maji taka la taifa. Alafu wakulima wapewe majimaji yale watumie kama mbolea.
 
Kwan si mbolea ??? au
 
Sinza tu hapo chemba ilikuwa inamwaga vinyesi wazi wazi... Kariakoo nako week mbili zilizopita nilikuwa hapo Mavi nje nje chemba zimefurika hatariii
Hii nchi ni Mungu tu anatulinda Ila ni shida
 
Sinza tu hapo chemba ilikuwa inamwaga vinyesi wazi wazi... Kariakoo nako week mbili zilizopita nilikuwa hapo Mavi nje nje chemba zimefurika hatariii
Hii nchi ni Mungu tu anatulinda Ila ni shida
Ukute kwenye hio chemba ya sinza, kimba la Lucas mwashambwa nalo lipo humo
 
Afadhali umelisema hili na mm niondoe dukuduku langu.Tuache kibaha tuje bongo,jiji la mchongo unakuta mboga nzuri kijani Hadi inataka kuwa nyeusi,Utaskia wakisifia hii ndio mboga tena haitakiwi ichemshwe sana kumbe imelimwa na kukuzwa na kinyesi na maji yakiwanda Cha urafiki.Jiulize bongo maji dumu mia 2 pengine buku maeneo kibao maji hamna ndio wapate ya kumwagilia mboga?
 
Sinza tu hapo chemba ilikuwa inamwaga vinyesi wazi wazi... Kariakoo nako week mbili zilizopita nilikuwa hapo Mavi nje nje chemba zimefurika hatariii
Hii nchi ni Mungu tu anatulinda Ila ni shida
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wachina wachafu sana. Humo kuna mavipindupindu, mataifodi, ma amoeba, ma minyoo ma tetenus na magonjwa mengine kibao kibao. Mbolea ya binadamu haifai kwa mbolea, na nchi zingine ukitaka kutumia mbolea ya wanyama lazima uichome na utumie majivu yake.
Sasa hao jamaa walikuwa wanaiweka kama ilivyo
 
Daaaaaaah mbona Dar kuhusu Vinyesi ni kama Samaki na Maji?, lakini mboga hizo zinazomwagiliwa kwa maji ya vinyesi nafikili hazina madhara endapo baada ya kuchumwa zinaoshwa vizuri na kupikwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…