MKALI WA MAMBO
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 211
- 146
my ribsMkuu umekuwa kama muimba taarabu alafu apa sio mahali pa mipasho ukitaka toa elimu toa Na sio kuleta hivi taarabu zako
Mjinga sana huyumy ribs
Hawa ndo wanasababisha maradhi madogo madogo kuwa makubwa sana sababu ya kujaza watu uwogamy ribs
i guess wewe na mdau mwandamizi wa uvinza countyMjinga sana huyu
umevimba, sio kwamba ndio asili yake kabisa!!!mtoa mada una domo zuri
Siwezi Fanya huo ujinga lakini amini nakuambia hizi mada za watu kama Hawa huathiri sana saikolojia za watu wengi wanapopatwa Na tatizo Dogo akikutana Na Uzi kama huu anaumwa maradufu hivo sioni sababu ya kuleta mada kama hii kwa Aina hii ya uwasilishaji ambao mleta mada ameleta anatengeneza matatizo zaidi kuliko saidia watu..i guess wewe na mdau mwandamizi wa uvinza county