MFICHA UCHI -HAZAI :Methali iliyomkera Mwalimu Wangu

MFICHA UCHI -HAZAI :Methali iliyomkera Mwalimu Wangu

Fall Army Worm

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2015
Posts
19,355
Reaction score
14,408
Nakumbuka nilikuwa darasa la nne, miaka kadhaa iliyopita, Mwalimu wetu wa Kiswahili ambaye alikuwa jinsia ya Kike,alituambia kuwa kila Mwanafunzi ataje Methali anayoijua au Kujifunza, na Unasema Nani kakufundisha. Sitasahau siku ile niliponyoosha mkono kwa kujiamini Kabisa na Kusema, Mficha Uchi.....!!!????, Darasa zima wakanigeukia mimi, huku wamekodoa macho kodooo !!!, Mwalimu akanifokea sana, kwamba Pumbafu sana, acha kutuletea Methali za kijinga. Sijui kosa langu lilikuwa Nini ??. Wakuu nilikuwa na kosa hapo ??.
 
aliekufunza methali hiyo ukiwa na umri huo,ni nani?!!
 
Methali zingine bana,mbona huo uchi unafichwa kila siku watu wanautafuta wanaupata.
 
HATA MIMI YALINIKUTA HAYO ILA NILIKUWA DARASA LA SABA.
NAMKUMBUKS MWALIMU WANGU MPENDWA AKIITWA MWALIMU KANJI MKAZI WA KURASINI
YALIISHA ILA CHA MOTO NILIKIONA
 
Kama ni darasa la nne mwalimu alikuwa sahihi kabisa.
Japo tu alitakiwa akueleweshe maana yake.
Kijijini ukitaja neno uchi ni kama umesema K
OK !!, Sasa siunajua umri ule unajifunza kila kitu unachokiona na kusikia bila kuchuja .
 
Back
Top Bottom