Mfikishieni hizi salamu Munishi muimba gospel

Mfikishieni hizi salamu Munishi muimba gospel

Maramla

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2014
Posts
588
Reaction score
648
Hivi huyu jamaa mbona haeleweki siku hizi anajilalamisha sana....halafu ndugu yetu yule anatumwa maana kaja kasi na viclip vyake vya kujidai eti anataka kuuwawa....hivi who z he by the wei....kinachonishangaza huyu jamaa aliwahi kuimba nyimbo inayoitwa DINI NA SIASA akawasihi sana watu wasichanganye haya mambo ile cha kushangaza ndugu yetu huyu sasa hivi kazama huko asee.....anatafuta kick au...mwanbieni aache utoto wa kizamani na vitrick vyake vya ajabu....
 
Mkuu hebu punguza munkari halafu nyoosha maelezo kwa kufafanua vizuri ili tuelewe mantiki ya hoja yako.
 
Kakutendea nini Munishi

Ulitaka kusema nini kwani?
 
Huelewek nyoosha maelezo kafanya nn ili tujue tunampaje ushaur
 
Huyu mtu yupo Kenya na alihamishwa bongo ww unawashwa na nn?
Halafu haueleweki juha.
 
Huyu mtu yupo Kenya na alihamishwa bongo ww unawashwa na nn?
Halafu haueleweki juha.

U Cant be serious kijana the guy yupo arusha na familia ipo arusha na anambaza short clips kibao sasa hivi.... Jaribu kufuatilia....
 
sifa kubwa ya mwanamme ni kukaa chini na kuongea vinavyoelewa, sasa wewe sijui umeongea nini hapa?
 
Msimalaumu mtoa mada, mimi naamini mtu akiwa JF pia ni.mfuatiliaji wa mitandao mingine. Faustine Munishi ametoa video nyingi za.kuikosoa serikali ya TZ kwamba haitendeki haki. Pia amelalamika sana ktk hizo video kwamba wanataka kumuua. Nenda ka "gugo" utapata habari hizo. Na amealikwa na Msama ktk Tamasha la Pasaka Jumapili April 5 uwanja wa Taifa, ngoja tuone kama atakuja. Mwaka 1979 alikua mi msanii wa kuchora na hata shuleni kwetu Mwananyamala B Primary (HeadTeacher Mzee Robert Maganga) alikuja kutuchorea lebo kwenye mifuko ya mashati. Ndiye Munishi ninayemfahamu kwa uchache
 
Hivi huyu jamaa mbona haeleweki siku hizi anajilalamisha sana....halafu ndugu yetu yule anatumwa maana kaja kasi na viclip vyake vya kujidai eti anataka kuuwawa....hivi who z he by the wei....kinachonishangaza huyu jamaa aliwahi kuimba nyimbo inayoitwa DINI NA SIASA akawasihi sana watu wasichanganye haya mambo ile cha kushangaza ndugu yetu huyu sasa hivi kazama huko asee.....anatafuta kick au...mwanbieni aache utoto wa kizamani na vitrick vyake vya ajabu....

We unaemtuma hapa nani? Nani aliekupa mamlaka hayo,kama anasema wanataka kumuua na yupo hai,si tufanyaje.

Unamjua Munish wewe
 
Msimalaumu mtoa mada, mimi naamini mtu akiwa JF pia ni.mfuatiliaji wa mitandao mingine. Faustine Munishi ametoa video nyingi za.kuikosoa serikali ya TZ kwamba haitendeki haki. Pia amelalamika sana ktk hizo video kwamba wanataka kumuua. Nenda ka "gugo" utapata habari hizo. Na amealikwa na Msama ktk Tamasha la Pasaka Jumapili April 5 uwanja wa Taifa, ngoja tuone kama atakuja. Mwaka 1979 alikua mi msanii wa kuchora na hata shuleni kwetu Mwananyamala B Primary (HeadTeacher Mzee Robert Maganga) alikuja kutuchorea lebo kwenye mifuko ya mashati. Ndiye Munishi ninayemfahamu kwa uchache

Mkuu hiki ndicho tulichokuwa tunataka, atoe maelezo yanayoeleweka. Kama yeye kaona video au kasikia maneno ya Munishi kwanini asiyaandike walau kwa ufupi ili tujue ni nini kinaendelea?
Ameandika kwa ufupi sana na kwa maneno ambayo ni ngumu kueleweka, sasa alitegemea watu wamjibu nini!?
 
Mkuu hebu punguza munkari halafu nyoosha maelezo kwa kufafanua vizuri ili tuelewe mantiki ya hoja yako.


Unataka anyooshe maelezo vipi?hujui kusoma mi nimemuelewa as muimbaji wa Gospel ambaye alikua anapinga sana watumishi wenzake kuchanganya mambo ya dini na siasa sasa na yeye badala ya kusimamia aliyokua akiyaimba anafanya yaleyale amekua Mgalatia hajui nani aliyemloga!!!!!!
 
Mkuu hiki ndicho tulichokuwa tunataka, atoe maelezo yanayoeleweka. Kama yeye kaona video au kasikia maneno ya Munishi kwanini asiyaandike walau kwa ufupi ili tujue ni nini kinaendelea?
Ameandika kwa ufupi sana na kwa maneno ambayo ni ngumu kueleweka, sasa alitegemea watu wamjibu nini!?


Nyie ni wagumu wa kuelewa na ndio maana mpaka sasa Katiba inayopendekezwa mnaisoma hamuielewi na hata ile ya mwaka 1977 nayo pia hamjaielewa wala kuisoma, mnapoteza muda humu ndani acheni hizo.
 
Msimalaumu mtoa mada, mimi naamini mtu akiwa JF pia ni.mfuatiliaji wa mitandao mingine. Faustine Munishi ametoa video nyingi za.kuikosoa serikali ya TZ kwamba haitendeki haki. Pia amelalamika sana ktk hizo video kwamba wanataka kumuua. Nenda ka "gugo" utapata habari hizo. Na amealikwa na Msama ktk Tamasha la Pasaka Jumapili April 5 uwanja wa Taifa, ngoja tuone kama atakuja. Mwaka 1979 alikua mi msanii wa kuchora na hata shuleni kwetu Mwananyamala B Primary (HeadTeacher Mzee Robe
rt Maganga) alikuja kutuchorea lebo kwenye mifuko ya mashati. Ndiye Munishi ninayemfahamu kwa uchache

Afadhali Dafity umeliona hilo baadhi ya watu humu hawafuatilii mada husika au jambo linalojadiliwa matokeo yake wanarukia mada na kujikuta wakipigwa za uso afu wanaishia kutoa mitusi!!!!
 
Hivi huyu jamaa mbona haeleweki siku hizi anajilalamisha sana....halafu ndugu yetu yule anatumwa maana kaja kasi na viclip vyake vya kujidai eti anataka kuuwawa....hivi who z he by the wei....kinachonishangaza huyu jamaa aliwahi kuimba nyimbo inayoitwa DINI NA SIASA akawasihi sana watu wasichanganye haya mambo ile cha kushangaza ndugu yetu huyu sasa hivi kazama huko asee.....anatafuta kick au...mwanbieni aache utoto wa kizamani na vitrick vyake vya ajabu....


salamu ameshazipata kitambo anachokifanya sasa anajibu kwa clip zake zake za video!!!!
 
Munishi yupo Nairobi-Kenya na Familia yake wanakula Good time, wewe kinakuwasha nini? acha kutoka povu basi piga kimya!
 
Back
Top Bottom