Mfugaji wa Mbuzi wa Maziwa anayepaswa kuigwa

Mfugaji wa Mbuzi wa Maziwa anayepaswa kuigwa

JokaKuu

Platinum Member
Joined
Jul 31, 2006
Posts
34,188
Reaction score
62,952
Kwa kweli sijaona mfugaji wa mbuzi wa maziwa anayefanya vizuri kama huyu mfugaji aliyeko Uganda. fuatilia program hapo chini.

 
Wapi mbegu za Napier grass zinapatikana . Mm nahitaji
Mbegu ninazo karibu.
0756625286.
IMG_20230218_183353_151.jpg

Kilo moja Tsh 5000.
Nipo Mlandizi-Kibaha,mbegu zinatumwa popote Tanzania.
 
..nadhani wasomi wengi zaidi wanatakiwa kuingia ktk kilimo.
Kweli kabisa mkuu,
Tena kama wanakuwa na kikundi na kuwekeza wakiwa na taaluma yao

Naona watu wengine wanawekeza kwenye ufugaji na kilimo huku wakiajiri bwana mifugo na kuwalipa vizuri sana na wengine wakiingia ubia

Nataka nijikite hivyo niingize hela kwenye ufugaji wa kisasa huku kilimo kiasi na wataalamu wakinisaidia kwa vitendo

Watu wana taaluma ya shamba halafu yuko mjini ni maajabu sana
Kama unataka V8 liko shamba
 
Kweli kabisa mkuu,
Tena kama wanakuwa na kikundi na kuwekeza wakiwa na taaluma yao

Naona watu wengine wanawekeza kwenye ufugaji na kilimo huku wakiajiri bwana mifugo na kuwalipa vizuri sana na wengine wakiingia ubia

Nataka nijikite hivyo niingize hela kwenye ufugaji wa kisasa huku kilimo kiasi na wataalamu wakinisaidia kwa vitendo

Watu wana taaluma ya shamba halafu yuko mjini ni maajabu sana
Kama unataka V8 liko shamba
Unacho sema ni kweli lakini nikuhakikishie kitu kimoja hao wasomi sio wakuwategemea sana maana hawataki kujishughulisha kabisaa na shamba linakuhitaji kulifikia kwa njia mbali mbali, nakushauri hata kama unampata mtaalamu au msomi kushirikiana nae jitahidi kuwekeza muda wako ktk ukaguzi wa kila mara na wa makini sana.
 
Unacho sema ni kweli lakini nikuhakikishie kitu kimoja hao wasomi sio wakuwategemea sana maana hawataki kujishughulisha kabisaa na shamba linakuhitaji kulifikia kwa njia mbali mbali, nakushauri hata kama unampata mtaalamu au msomi kushirikiana nae jitahidi kuwekeza muda wako ktk ukaguzi wa kila mara na wa makini sana.
Asante sana mkuu,
Unajua wabongo ndio watu wavivu Africa mimi naona tena ujanja mwingi

Angalia wafugaji Botswana, Uganda, Zimbabwe na hata SA kwenye YouTube
Wanashirikiana na waganga wa mifugo na kuwaamini kwani ukiamua kufanya mwenyewe kuna wenye roho mbaya watawachoma sumu mifugo au utauziwa madawa feki ambayo yatamaliza mifugo na hata mimea

Najifunza mengi sana kabla sijaingia kichwa kichwa
Kweli itabidi niwe hapo hapo au kwa ukaribu sana [emoji120]
 
Asante sana mkuu,
Unajua wabongo ndio watu wavivu Africa mimi naona tena ujanja mwingi

Angalia wafugaji Botswana, Uganda, Zimbabwe na hata SA kwenye YouTube
Wanashirikiana na waganga wa mifugo na kuwaamini kwani ukiamua kufanya mwenyewe kuna wenye roho mbaya watawachoma sumu mifugo au utauziwa madawa feki ambayo yatamaliza mifugo na hata mimea

Najifunza mengi sana kabla sijaingia kichwa kichwa
Kweli itabidi niwe hapo hapo au kwa ukaribu sana [emoji120]
Unacho kisema kipo na tuna kiishi, kuna saa uanjiuliza nani aliwatuma kwenda kusomea hiyo taaluma, kuna majibu ya hovyo unayapata toka kwenye vet apo wakati unahitaji huduma mpaka unajiuliza huyu ni wa wanyama au vipi. Na ndio maana ina fika mahali unajitahidi mfugaji baadhi ya mambo unajifunza kufanya mwenyewe maana ukiwategemea utajuta kufuga 🤷‍♂️
 
Back
Top Bottom