Ndokeji
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 698
- 476
NHIF mfuko wa Bima, umekuwa kero kubwa kwenye kuzilipa hospitali ili ziweze kujiendesha zenyewe, kutokana na hali mfuko huu una miezi karibu 7 haujazilipa hizi hospitali.
Imekuwa mzigo kwa hospital kujiendesha, watu wanachangia lakini mfuko umekuwa na hali tete hasa kulipa hizi hospital.
Wizara ya afya lifanyieni kazi hilo.
Isije ikawa kero kwa Hospital na wananchi.
Imekuwa mzigo kwa hospital kujiendesha, watu wanachangia lakini mfuko umekuwa na hali tete hasa kulipa hizi hospital.
Wizara ya afya lifanyieni kazi hilo.
Isije ikawa kero kwa Hospital na wananchi.