Mfuko wa Bima ya Afya wa Serikali NHIF umekua na sintofahamu kwenye hili

Mfuko wa Bima ya Afya wa Serikali NHIF umekua na sintofahamu kwenye hili

ThisisDenis

Senior Member
Joined
Apr 14, 2013
Posts
162
Reaction score
139
Kumekua na marudio na marejeo ya mtu mmoja kupata bima moja ya afya sehemu mbalimbali, Unakutana na kijana anabima ya NHIF ambayo iko chini ya familia, Kijana huyu huyu anapoingia chuo analipia bima ya NHIF, Kijana huyu huyu anapoanza kazi shirika la serikali analazimishwa kukatwa mafao ya bima ya NHIF.

Huyu kijana hapo anakua analipiwa bima na mzazi ndani ya mfuko mmoja na yeye mwenyewe anakatwa bima na kampuni nyingine ambapo makato hayo yanaenda NHIF.

Hadi hapo kijana anakua na bima 2 za same class na details zake ni zile zile. Hapa mfuko wetu wa bima wa taifa wa NHIF. Bado hauja kaa sawa, Unapaswa uongezewe usimamizi inaonekana ni mahali ambapo serikali au wasimamizi waliopewa dhamana ya kusimamia wanakula pesa za wananchi.
 
Kumekua na marudio na marejeo ya mtu mmoja kupata bima moja ya afya sehemu mbalimbali, Unakutana na kijana anabima ya NHIF ambayo iko chini ya familia, Kijana huyu huyu anapoingia chuo analipia bima ya NHIF, Kijana huyu huyu anapoanza kazi shirika la serikali analazimishwa kukatwa mafao ya bima ya NHIF.

Huyu kijana hapo anakua analipiwa bima na mzazi ndani ya mfuko mmoja na yeye mwenyewe anakatwa bima na kampuni nyingine ambapo makato hayo yanaenda NHIF.

Hadi hapo kijana anakua na bima 2 za same class na details zake ni zile zile. Hapa mfuko wetu wa bima wa taifa wa NHIF. Bado hauja kaa sawa, Unapaswa uongezewe usimamizi inaonekana ni mahali ambapo serikali au wasimamizi waliopewa dhamana ya kusimamia wanakula pesa za wananchi.
Unaelewa umri wa mwisho kijana kutumia bima ya dependant Kwa Wazazi wake?

Ukienda Chuo na una bima ya dependant nani atakulazimisha uwe na bima nyingine kwa mfuko mmoja.
 
Unaelewa umri wa mwisho kijana kutumia bima ya dependant Kwa Wazazi wake?

Ukienda Chuo na una bima ya dependant nani atakulazimisha uwe na bima nyingine kwa mfuko mmoja.
Shida sasa hivi mtu anajiandikia tu kila anachojihisi kisa amesikia mtaani
 
Unaelewa umri wa mwisho kijana kutumia bima ya dependant Kwa Wazazi wake?

Ukienda Chuo na una bima ya dependant nani atakulazimisha uwe na bima nyingine kwa mfuko mmojaNi wangapi wana bima mbili
 
WENYE BIMA 2 ZA NHIF
like

KAMA UNA MOJA
Comment
 
HIlo sio kweli.

Labda ungeeleza changamoto ya mume na mke kukatwa NHIF. Unakuta wote wanafanya kazi serikalini na wote wanakatwa NHIF.

wakati kila mmoja kamweka mwenzake. Na watoto ni wale wale. Kwa nini asichangie mmoja tu kwenye mfuko wa NHIF?
 
HIlo sio kweli.

Labda ungeeleza changamoto ya mume na mke kukatwa NHIF. Unakuta wote wanafanya kazi serikalini na wote wanakatwa NHIF.

wakati kila mmoja kamweka mwenzake. Na watoto ni wale wale. Kwa nini asichangie mmoja tu kwenye mfuko wa NHIF?
fanya uchunguzi
 
Back
Top Bottom