PendoLyimo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 969
- 1,055
Mhandisi wa Mfuko wa Mawasiliano kwa wote Bw. Shirikisho Mpunji akielezea juu ya namna ya Utekelezaji wa Miradi ya Mfuko wa Mawasiliano kwa wote (UCSAF) ambapo amesema Miradi hii imegawanyika katika Makundi Makuu mawili ambayo ni:
1. Miradi ya Mawasiliano ya Vijijini ambayo kimsingi Mfuko unafanya kazi kwa kushirkiana na watoa huduma za Mawasiliano kwa kupeleka na kufanikisha huduma za Mawasiliano Vijijini na Maeneo yasiyo na mvuto wa kibiashara.
2. Miradi mingine pamoja na:
Leo Septemba 09/2021
Picha jmizungu
# SeminaUtoajiElimu
# MfukoWaMawasilianoKwaWote
# KichocheoChaUchumiWaKati
1. Miradi ya Mawasiliano ya Vijijini ambayo kimsingi Mfuko unafanya kazi kwa kushirkiana na watoa huduma za Mawasiliano kwa kupeleka na kufanikisha huduma za Mawasiliano Vijijini na Maeneo yasiyo na mvuto wa kibiashara.
2. Miradi mingine pamoja na:
- Mradi wa vifaa vya TEHAMA na kuunganisha shule kwa mtandao wa intaneti
- Tiba Mtandao (Telemedicine)
- Matangazo ya Kidigitali ya Runinga (Digital Broadcasting)
- Mafunzo ya TEHAMA kwa walimu
- Wasichana na TEHAMA
- Mradi wa kuboresha matangazo ya TBC maeneo ya mipakani
Leo Septemba 09/2021
Picha jmizungu
# SeminaUtoajiElimu
# MfukoWaMawasilianoKwaWote
# KichocheoChaUchumiWaKati