johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Rais Samia amesema hajateua mkurugenzi mkuu mpya wa PSSSF ( Public Service Social Security Fund) na kumuacha yule yule aliyepo kwa sababu mfuko huo una hali mbaya kifedha hivyo anataka uchunguzi ufanyike kwanza.
Naunga mkono hatua hii kwa 100% kuna jasho langu pale.
Ukinizingua Nakuzingua!
Naunga mkono hatua hii kwa 100% kuna jasho langu pale.
Ukinizingua Nakuzingua!