Hayo mabega lazima tuyashushe kwa nyundoMmawia huyo!
Huyu msanii yupo wap?Nireteeni gwajima nireteeni gwajmaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Haha na wewe umeumizwaRais Samia amesema hajateua mkurugenzi mkuu mpya wa PSSSF ( Public Service Social Security Fund) na kumuacha yule yule aliyepo kwa sababu mfuko huo una hali mbaya kifedha hivyo anataka uchunguzi ufanyike kwanza.
Naunga mkono hatua hii kwa 100% kuna jasho langu pale.
Ukinizingua Nakuzingua!
Trillion 1.5Ufisadi uliofanyika nchini miaka mitano iliyopita ni zaidi ya ufisadi wote uliofanyika awamu zote combined! Yale makelele na mavitisho ndio mliona ni uongozi? Thubutu; ni mbinu za kuficha uchafu zile!
Unauliza swali au jibu? Kwani hii nchi inaongozwa na Serikali ya chama gani? Hao Wakurugenzi wa hiyo mifuko wanateuliwa na nani? Matumizi ya hizo pesa yanasimamiwa na nani?Rais Samia amesema hajateua mkurugenzi mkuu mpya wa PSSSF ( Public Service Social Security Fund) na kumuacha yule yule aliyepo kwa sababu mfuko huo una hali mbaya kifedha hivyo anataka uchunguzi ufanyike kwanza.
Naunga mkono hatua hii kwa 100% kuna jasho langu pale.
Ukinizingua Nakuzingua!
Ndugu yangu,John,macho yako Yana ona tu psssf na kwanini sii nssf, na iliyokuwa pspf na wengineo je huko Nani kafilisi,kwanini ,na kwafaida ya nani.?Rais Samia amesema hajateua mkurugenzi mkuu mpya wa PSSSF ( Public Service Social Security Fund) na kumuacha yule yule aliyepo kwa sababu mfuko huo una hali mbaya kifedha hivyo anataka uchunguzi ufanyike kwanza.
Naunga mkono hatua hii kwa 100% kuna jasho langu pale.
Ukinizingua Nakuzingua!
Umefilisiwa na Tundu Lissu, Mbowe, Mnyika, Zitto na Heche walipozichota kwenda kujenga Uwanja wa ndege Singida vijiji, Hai, Tarime vijijini na Kigoma vijijini na kununua wabunge wa CCM ili wahamie upinzani.
Kumbe iliwahi tamkwa hivi!Rais Samia amesema hajateua mkurugenzi mkuu mpya wa PSSSF ( Public Service Social Security Fund) na kumuacha yule yule aliyepo kwa sababu mfuko huo una hali mbaya kifedha hivyo anataka uchunguzi ufanyike kwanza.
Naunga mkono hatua hii kwa 100% kuna jasho langu pale.
Ukinizingua Nakuzingua!
Hakika.Ujenz wa chato empire umefilisi wengi....pia ukisikia fedha za ndani ndo kama hivyo