Mfuko wa taifa wa bima ya afya katika hati hati ya kufilisika

Karikenye

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
564
Reaction score
280
Nimepata nyepesi nyepesi kutoka ndani ule Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya upo katika hati hati ya kufilisika nasikia serikali haipeleki michango yake na imekopa na kukomba pesa ya Mfuko huo:

Source: Ya kuaminika sana!
 
Nimepata nyepesi nyepesi kutoka ndani ule Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya upo katika hati hati ya kufilisika nasikia serikali haipeleki michango yake na imekopa na kukomba pesa ya Mfuko huo:

Source: Ya kuaminika sana!

Kwa hiyi serikali inakomba kila mahali, NSSF nako nasikia hali ai shwari!!!!
 
Nikweli. Siyo NHIF tu, bali mifuko mingi ambayo serikali inachangia au inapaswa ipeleke michango ya watumishi wake. Miradi yenye local counterpart contributions pia haijapata kitu.
 
all signs of a a failed state.... kuna tatizo la accountability kubwa sana
 
hawawezi kukubali ufe maana ndio mrija wa kupatia hela za bure kutoka kwa waatumishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…