Adeal na huyo malaya wake asiye tosheka, maana kumtafuta huyu jamaa atafanya murder bure aishie jera na kumuacha huyo malaya akila maisha.
Kimara kuna nini?Leo kuna mtu ame'post kwenye facebook wall yake kuwa kuna jirani yake amefumwaniwa na mme wa mtu......could this be the same case?
Ni wazo zuri, mkewe anadeal naye lakini anataka pia kumkomesha huyu mtu maana ni kipanga wa wake za watu
bwana mmoja mwenye tabia ya kubeba wake za watu huko kimara juzi kati amefumwa akiwa na mke wa mtu.
huyo bwana kachabangwa mabao na kumwagiwa mitusi mbele ya kadamnasi na mwanamke ambaye inasemekana pia ni mke wa mtu.
habari zimemfikia mume wa mmoja wa hawa wanawake amabye ni rafiki yangu na anamsaka huyu jamaa ili amfanyizie kwa kumwaribia mahusiano ya ndoa yake kwa muda mrefu.
tumshaurije huyu bwana anaye msaka mtuhumiwa wake maana anahasira na aweza fanya maangamizi na kujikuta anaingia pabaya?
mwanamke anakosa mana hajamwambia mumewe kama hatosheki,sasa nje ndo kaona soln.dawa mwanamke apigwe chini.Bwana mmoja mwenye tabia ya kubeba wake za watu huko Kimara juzi kati amefumwa akiwa na mke wa mtu.
bwana kachabangwa mabao na kumwagiwa mitusi mbele ya kadamnasi na mwanamke ambaye inasemekana pia ni mke wa mtu.
Habari zimemfikia mume wa mmoja wa hawa wanawake amabye ni rafiki yangu na anamsaka huyu jamaa ili amfanyizie kwa kumwaribia mahusiano ya ndoa yake kwa muda mrefu.
Tumshaurije huyu bwana anaye msaka mtuhumiwa wake maana anahasira na aweza fanya maangamizi na kujikuta anaingia pabaya?
Anamatafuta wapi??? Wakati huyo mwanamke wake anajua aliko??? Mwambie amuulize mkewe
Nimejaribu kumsihi cku nyingi but naona anamsimamo mkali sana anahasira na huyo baba anayetumia pesa kulaghai wake za wenzie
Maty nakubaliana na wewe kabisaAnalaghaiwa mtoto wa shule wewe, huyo mwanamke mzima mpaka ameolewa unasema analaghaiwa? ni tamaa zake za kushindwa kuridhika na mumewe na huyo jamaa yako amechukua mwanamke ambae si size yake, mke anataka makubwa wakati yeye hawezi kumtimizia, mwambie asubiri ubavu wake, huo amekwapua wa mwenzie